MCHEZAJI wa Kimataifa wa Algeria Riyad Mahrez ametwaa Tuzo ya BBC ya Mchezaji Bora Afrika kwa Mwaka 2016. Mahrez,
Mzaliwa wa France mwenye Miaka 25, aliisaidia mno Leicester City kutwaa
Ubingwa wa England Mwezi Mei kwa mara ya kwanza katika Historia yao na
hilo limempa Tuzo hii maarufu na inayosifika ya BBC, Shirika la
Utangazaji la Uingereza. Mapema Mwaja huu, Mahrez alitunukiwa Tuzo
ya...
Wednesday, December 14, 2016


CRISTIANO
RONALDO ameshinda Tuzo maarufu na iliyotukuka ya Ballon d'Or kutoka
Listi ya Wagombea 30 akiwemo alieishika kmWaka Jana Lionel Messi. Hii sasa ni mara ya 4 kwa Ronaldo kutwaa Tuzo hii akizidiwa mara 1 tu na Messi. Ballon
d'Or inasimamiwa na Jarida maarufu France Football na Mshindi wake
hupatikana kwa Kura za Wanahabari 173 toka kila pembe ya Dunia. France
Football imekuwa ikisimamia...


DROO
ya Raundi ya Mtoano ya UEFA CHAMPIONS LIGI imefanyika huko Nyon, Uswisi
na Mabingwa Watetezi Real Madrid kupangwa kucheza na Napoli. Arsenal ya England itacheza na Vigogo wa Germany wakati PSG ikiivaa FC Barcelona. Manchester Citi itaikwaa Monaco wakati Mabingwa wa England Leicester City wakicheza na Sevilla ya Spain. DROO KAMILI: Sevilla v Leicester PSG v Barcelona Leverkusen v Atletico...



Leo
Jumatano zipo Mechi 8 za EPL na Vinara Chelsea wapo Ugenini Stadium of
Light kucheza na Sunderland, Liverpool Ugenini na Boro, Man United
Ugenini na Crystal Palace wakati Spurs wako kwao kucheza na Hull City. Mechi
hizo ni mwendelezo wa Mechi 2 za Jana za Raundi ya 16 ya EPL ambapo
Arsenal walipoteza nafasi ya kutwaa uongozi wa Ligi walipotandikwa na
Everton 2-1 huko Goodison Park...
Subscribe to:
Posts (Atom)