Sunday, January 8, 2017

Arsenal wasawazisha dakika ya 46 kipindi cha pili na Aaron Ram...
Wayne Rooney amasawazisha idadi ya mabaoa na ya Sir Bobby Charlton ambaye aliwezk rekodi ya kufunga idadi kubwa zaidi ya mabao akichezea klabu ya Manchester United.Rooney mwenye umri wa miaka 31 alifunga bao wakati wa mchuano kati ya Manchester United na Reading na kufikisha jumla ya mabao 249 kwa mechi 543.Rekodi hiyo ya Charlton imekuwepo tangu mwaka 1973.Mwaka 2015 Rooney alivunja rekodi...
Ligi ya Spanish Primera División, Mtanange wa Real Madrid umemalizika hivi punde na huku Vinara wa ligi hiyo Real Madrid wakiichakaza Bao 5-0 Timu ya Chini ya Granada.  Bao za Real Zimefungwa na Isco (12', 31') Karim Benzema (20') Cristiano Ronaldo (27') Casemiro (58'...
Mechi za Raundi ya 3 ya Kombe Kongwe kabisa Duniani, FA CUP, zinaanza Leo kwa Mechi moja tu kati ya West Ham na Manchester City itakayochezwa huko London Stadium, Jijini London. Raundi ya 3, ambayo inaipumzisha EPL, Ligi Kuu England, Wikiendi hii, ndio inayoingiza kwa mara ya kwanza Timu za EPL na zile za Daraja la chini yake, Championship, kushiriki Mashindano haya yaliyotanguliwa na...
John Obi Mikel ametangaza kupitia Posti kwenye Mitandao ya Kijamii kuihama Chelsea kujiunga na Klabu ya China inayocheza Supa Ligi Tianjin TEDA. Mikel, mwenye Miaka 29, alijiunga na Chelsea akiwa na Miaka 19 akitokea Klabu ya Norway Lyn Mwaka 2006 na kucheza Mechi 374. Lakini Msimu huu, chini ya Meneja Mpya Antonio Conte, Mikel hajacheza hata Mechi moja na hilo limemfanya ahame. Akiwa na...

waliotembelea blog