Liverpool imemsaini Beki wa Southampton Dejan Lovren kwa Dili inayoaminika ni Pauni Milioni 20 na huyo ni Mchezaji wao wa 5 kumnunua kwa ajili ya Msimu mpya.Lovren, mwenye Miaka 25, ni Sentahafu kutoka Croatia na amesaini Mkataba wa Miaka Minne.Lovren
anaungana na Wachezaji wengine wawili waliotoka Southampton na kuhamia
Liverpool katika kipindi hiki ambao ni Rickie Lambert na Adam Lallana.Meneja
...
Monday, July 28, 2014


*Msafiri Diouf, Amigolas wa Bendi ya Ruvu Stars kupamba shindano
Na Mwandishi Wetu
Wakati
warembo 14 wanaowania taji la Kanda ya Mashariki ( Redds Miss Eastern
Zone 2014) (kesho Jumanne) watashindana kwenye taji la vipaji (talent
award), bendi mpya inayokuja juu kwa kasi, Ruvu Stars chini ya nyota
Msafiri Diouf na Hamis Amigolas watapamba shindano hilo lililopangwa
kufanyika ...
Subscribe to:
Posts (Atom)