Tuesday, November 10, 2015

Utamaduni wa wanafunzi kuwatunga majina waalimu wao ulikuwepo toka zamani na mara nyingi mwalimu anaweza kutungwa jina ambalo yeye halijui ila kutokana na tabia na muonekano wake basi wanafunzi hupenda kumtunga jina linaloendana na tabia zake kama ni mkali usishangae ukisikia akipewa...
Fowadi wa Leicester City Jamie Vardy akipozi kupata picha na Tuzo yake ya Mwezi Oktoba, 2015 Mwezi wa Septemba Mchezaji wa Manchester United Anthony Martial ndiye aliyetwaa hiyo tu...
Msafara wa timu ya Taifa ya Algeria (The Desert Warriors) unatarajiwa kuwasili nchini siku ya Alhamis kwa ndege binafsi ya kukodi, ukiwa na jumla ya watu 65 wakiwamo wachezaji 24 tayari kwa mchezo wa Jumamosi Novemba 14 dhidi ya wenyeji Tanzania katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Kocha mkuu wa timu hiyo Iitakayofikia hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Kempsinki, Christian Gourcuff...
Kiungo wa zamani wa timu za Arsenal na Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya New York City.Vieira mwenye umri wa miaka 39 amesaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Marekani.Kocha huyu alikua anakifundisha kikosi cha vijana wa chini ya umri wa 21 cha Manchester City. Vieira ni miongoni mwa nyota wa timu ya...
Ratiba ya michuano ya Kombe la Challenji kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa Senior Challenger Cup) imetoka jana ambapo timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ imepangwa kundi moja na wenyeji Ethiopia. Katika taarifa ya CECAFA iliyotolewa jana, Kilimanjaro Star imepangwa kundi A pamoja na wenyeji Ethiopia, Somali na waaalikwa wa michuano hiyo timu ya Taifa ya Zambia ‘Chipolopolo’....
David Moyes ametimuliwa kazi kama Meneja wa Klabu ya La Liga inayosuasua ya Real Sociedad ikiwa ni Siku 1 tu kabla hajatimiza Mwaka mmoja Klabuni hapo. Moyes, mwenye Miaka 52, alitwaa wadhifa wa Umeneja wa Klabu hiyo ya Spain hapo Tarehe 10 Novemba 2014 na kuiokoa Klabu hiyo kuporomoka wakati ikiwa katika hali mbaya na kukamata Nafasi ya 12 kwenye La Liga Msimu uliopita.Lakini Msimu huu...
Mchezo wa mpira wa miguu ni miongoni mwa kazi zinazotajwa kulipa mishahara mikubwa zaidi duniani, siku hizi imekuwa kawaida kusikia mchezaji huyu na yule kuwa na mshahara wenye tofauti kubwa. Kwa sasa Ligi Kuu soka Tanzania bara inatajwa kuwa ni moja kati ya Ligi zinazoongoza kwa kulipa mishahara mikubwa tofauti na baadhi ya Ligi za nchi...

waliotembelea blog