Mwamuzi aliyechezesha mchezo wa ligi kuu ya Hispania kati ya
Athetico Bilbao VS Real Madrid na kumtoa kwa kadi nyekundu mwanasoka
bora wa dunia Cristiano Ronaldo wikiendi iliyopita amesimamishwa.
Kamati ya marefa nchini Spain imemuadhibu refa Miguel Angel
Ayza Gamez kwa kumsimamisha kwa mwenzi mzima na huku akiondolewa katika
isti ya marefa watakaochezesha mechi za Real Madrid...
Friday, February 7, 2014



Nemanja Vidic amethibitisha ataondoka Klabu hiyo mwishoni mwa Msimu huu.Vidic,
Raia wa Serbia mwenye Miaka 32, anamaliza Mkataba wake na Man United
mwishoni mwa Msimu huu kwenye Klabu aliyoanza kuichezea Mwaka 2006.Vidic
alitoa Taarifa kwenye Tovuti ya Man United na kusema: “Sifikirii
kubakia England kwani Klabu pekee niliyotaka kuchezea ni Manchester
United. Sikutegemea kushinda Vikombe...


Ijumaa Februari 7
RCD Espanyol v Granada CF
Jumamosi Februari 8
Valencia v Real Betis
Rayo Vallecano v Malaga CF
Real Madrid CF v Villarreal CF
UD Almeria v Atletico de Madrid
Jumapili Februari 9
Osasuna v Getafe CF
Real Valladolid v Elche CF
Real Sociedad v Levante
Sevilla FC v FC Barcelona
Jumatatu Februari 10
Celta de Vigo v Athletic de Bilbao
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA LA LIGA:
2013/2014 SPANISH...
Subscribe to:
Posts (Atom)