Monday, November 23, 2015

Jumanne Usiku Chelsea wako Ugenini kucheza Mechi ya Kundi G la UEFA CHAMPIONS, Dhidi ya Maccabi Tel Aviv wakiwa na matumaini ya kutinga Raundi ya Mtoano ya Timu wakiwa na Mechi 1 mkononi. Hapo kesho, Chelsea wanaweza kufuzu wakiishinda Maccabi ambayo ishatupwa nje ikiwa Dynamo Kiev haishindi Mechi yao na FC Porto huko Ureno. Na hata Sare kwa Chelsea inaweza kuwasaidia ikiwa FC Porto itaifunga...
RAIS wa Real Madrid Florentino Perez ameitisha Mkutano na Wanahabari utakaofanyika Leo Saa 3 na Nusu Usiku kwa Saa za Bongo na hili limekuja mara baada ya Jumamosi kutandikwa 4-0 na Barcelona kwenye El Clasico iliyochezwa Nyumbani kwao Santiago Bernabeu. Wakati Real inacharangwa na Barca Juzi Jumamosi, Mashabiki wa Real waliokuwepo Uwanjani Bernabeu walimtaka Perez ajiuzulu lakini hili...
MENEJA wa Arsenal Arsene Wenger ametamka kuwa Kiungo wao Francis Coquelin atakuwa nje kwa kipindi kisichopungua Miezi Miwili baada ya kuumia Goti Timu yao ilipochapwa 2-1 huko The Hawthorns na West Bromwich Albion.Kipigo hicho cha Jumamosi toka kwa WBA kiliwakosesha Arsenal kukwea kilele cha Ligi Kuu England na kujikuta wametupwa Nafasi ya 4. Pia kuumia kwa Coquelin na pigo kubwa kuelekea...
Adam Lallana akifurahia Ushindi kwenye Uwanja wa Etihad baada ya Eliaquim Mangala (katikati) kujifunga. Philippe Coutinho akishangilia bao lake Firmino alifanya 3-0 Straika wa Man City  Sergio Aguero ndie aliyewapa bao la kufutia machozi Etihad Manchester City walipata bao lao kupitia kwa Sergio Agüero dakika ya 44 na bao kuwa 3-1. Liverpool walipata bao kupitia kwa Eliaquim...
Jamie Vardy akishangilia bao lake la 10 na kwenye mechi 10 leo hii.Bao za Jamie Vardy, Leonardo Ulloa na Okazaki zimewapa Leicester City ushindi wa 3-0 walipocheza Ugenini huko Saint James Park na Newcastle na kuwapaisha hadi kileleni mwa Ligi Kuu England ambako wanaweza kubaki ikiwa baadae Leo Man City hawatashinda Mechi yao na Liverpool. Bao la Leo la Jamie Vardy limemfanya afikishe...

waliotembelea blog