Saturday, March 8, 2014

Manchester United wanapata bao kupitia kwa Phil Jones bao la kichwa baada ya Robin Van Persie kuachia shuti kali la frii kiki, Katika dakika ya 34. Phil Jones likiwa ni bao lake la tatu kwa msimu huu. Kipindi cha kwanza Man United wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya wenyeji West Brom. Kipindi cha pili dakika ya 63...
Klabu ya Inter Milan imetoa ofa ya paundi mil 20 kwa Chelsea ili kumsajili mshambuliaji wake mkongwe Fernando Torres. Milan wamefikia uamuzi huu baada ya maneno ya Mourinho aliyoyatoa wiki mbili zilizopita kuwa anahitaji kusajili mshambuliaji mpya kutokana na ubutu wa washambualiaji alionao. Kutokana na kauli hii ya Mourinho mshambualiji huyu amekuwa hana raha ikizingatiwa kuwa...
Willian akiwa salon  ...
...
 Rio Ferdinand Robin van Persie Shinji Kagawa na Alexander Buttner Ryan Giggs  Wayne Rooney Michael Carrick...
Wang’amuzi vipaji 28 wanakutana Lushoto mkoani Tanga kwa siku saba katika mpango maalumu wa maboresho ya Taifa Stars ambapo watatoka na orodha ya mwisho ya wachezaji waliopatikana katika mechi za maboresho hayo zilizochezwa nchi nzima. Katika kikao hicho, wang’amuzi hao watapitia majina ya wachezaji walioteuliwa ikiwemo kuwaangalia tena kwenye video kwa vile mechi zote zilirekodiwa....
Rank Teams PlayedWinsDrawLostGDGoal scorePoints 1Azam FC181170233540 2Yanga SC171151294138 3Mbeya City2099282436 4Simba SC20983173835 5Kagera Sugar2078521829 6Coastal Union19510451425 7Ruvu Shooting19676-52125 8Mtibwa Sugar1967602325 9JKT Ruvu207112-141622 10Prisons FC17386-31517 11Mgambo Shooting194510-171117 12JKT Oljoro20299-151415 13Ashanti UTD193511-191514 14Rhino Rangers192710-11121...
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga faini ya jumla ya sh. milioni moja klabu ya Simba kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo vitendo vinavyoashiria ushirikina uwanjani. Simba ilifanya vitendo hivyo katika mechi yake dhidi ya Mbeya City ambapo imepigwa faini ya sh. 500,000. Pia imepigwa faini nyingine ya sh. 500,000 kwa makocha wake Loga, Selemani Matola na Idd Pazi kuingia...
Jumla ya wachezaji watatu wametajwa kwenye orodha ya wachezaji ambao wapo kwenye rada ya Barcelona kusajiliwa mwishoni mwa msimu. Wachezaji hao ni David Luiz (chelsea), Jan Vertonghen (spurs) na Mats Hummels (Dortmund). Kati ya wachezaji hawa mmoja ndiye atakayeweza kusajiliwa na Barcelona ili kuziba pengo la Carles Puyol ambaye ameshatangaza kuondoka Barca kutokana na...

waliotembelea blog