Winga
anayechipukia wa Real Madrid, Jese Rodriguez ameweza kuziba pengo la
Cristiano Ronaldo vyema kipindi hiki ambacho anatumikia adhabu ya kadi
nyekundu. Kukosekana kwa Ronaldo kulitafsiriwa na wengi kuwa itakuwa ni
nafasi nzuri kwa Gareth Bale kuonekana, lakini Jesse ameweza kumfunika
vibaya Bale kiasi ambacho kimemfanya macho ya mashabiki kuhamia kwa
Jesse. Kutambua kiwango...
Wednesday, February 19, 2014


Kikosi cha Arsenal kilichoanza
Kikosi cha Bayern Munich kilichoanza
Minong'ono
imeanza kuwa Robben alimtemea mate Sagna kama inavyoonekana kwenye
kiduara cha njano kwenye picha. Lakini baadhi ya watu wamesema ni jasho
lililokuwa linadondoka kutoka kwenye kidevu cha Robben.
Arsenal
...


Kocha
wa timu ya taifa ya England, Roy Hodgson wiki hii ametembelea sehemu
tofauti nchini Brazil ambazo zitatumika na timu ya England kufanya
mazoezi, kucheza na kulala. Baadhi ya maeneo ambayo Roy ametembelea ni
pamoja na uwanja wa Arena Amazonia ambao England watafungua dimba dhidi
ya Italy na pia alitembelea miji ya Manaus, Rio de Janeiro, Sao Paulo na
Belo Horizonte. Katika...
Subscribe to:
Posts (Atom)