Wednesday, February 19, 2014

Winga anayechipukia wa Real Madrid, Jese Rodriguez ameweza kuziba pengo la Cristiano Ronaldo vyema kipindi hiki ambacho anatumikia adhabu ya kadi nyekundu. Kukosekana kwa Ronaldo kulitafsiriwa na wengi kuwa itakuwa ni nafasi nzuri kwa Gareth Bale kuonekana, lakini Jesse ameweza kumfunika vibaya Bale kiasi ambacho kimemfanya macho ya mashabiki kuhamia kwa Jesse. Kutambua kiwango...
Kikosi cha Arsenal kilichoanza Kikosi cha Bayern Munich kilichoanza Minong'ono imeanza kuwa Robben alimtemea mate Sagna kama inavyoonekana kwenye kiduara cha njano kwenye picha. Lakini baadhi ya watu wamesema ni jasho lililokuwa linadondoka kutoka kwenye kidevu cha Robben.          Arsenal ...
...
  &nbs...
Kocha wa timu ya taifa ya England, Roy Hodgson wiki hii ametembelea sehemu tofauti nchini Brazil ambazo zitatumika na timu ya England kufanya mazoezi, kucheza na kulala. Baadhi ya maeneo ambayo Roy ametembelea ni pamoja na uwanja wa Arena Amazonia ambao England watafungua dimba dhidi ya Italy na pia alitembelea miji ya Manaus, Rio de Janeiro, Sao Paulo na Belo Horizonte. Katika...

waliotembelea blog