Wednesday, July 1, 2015

Akimwaga wino kwenye karatasi kujiunga jumla na Klabu ya Liverpool kutokea Southampton Nathaniel Clyne akipozi kupata picha na Uzi wa LiverpoolClyne amesaini mkataba wa miaka 5 kwa kitita cha  £12.5mClyne tayari amekamilisha mambo yake yote ikiwemo upimwaji na sasa yu Tayari kuleta mabadiliko kwenye Klabu mpya ya Liverpool.Clyne ni miongo mwa wachezaji 6 waliosajiliwa na Liverpool...
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano...
Wachezaji wa Argentina wakipongezana baada ya kuifunga bao 6-1 ParaguayNdani ya Estadio Municipal Alcaldesa Ester Roa Mjini Rebolledo Nchini Chile, Argentina wameitandika  Paraguay katika Nusu Fainali ya Pili ya Copa America. BAO za  Argentina  zimefungwa na Marcos Rojo 15' Javier Pastore 27' Ángel Di María 47'  Ángel Di María 53  Bao la Paraguay limefungwa na...
Dwayne  Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, producer wa movie na mchezaji wa mieleka kutoka Marekani aliyejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na baadae tukaanza kumwona kwenye movie za action Hollywood, Marekani. The Rock alichukua time na kufanya interview na gazeti la Esquire la Marekani na kuongelea mambo mengi ikiwemo sababu zilizomfanya...

waliotembelea blog