Tuesday, November 17, 2015

Bao la kwnza limefungwa na Dele Alli dakika ya 39 kipindi cha kwanza na kipindi cha pili Wayne Rooney dakika ya 48. Mchezo huu ukiongozwa na Mwamuzi Jonas Eriksson ...
Dakika ya 1 tu Tanzania walikuwa wameshapigwa bao na Yacine Brahimi kwenye marudiano ya mchezo wao wa Kitaifa wa kirafiki wakiongozwa na Refa Neant Alioum kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker, El Bouleïda (Blida) Algeria. MAGOLI: Goli la kwanza limefungwa dakika ya 1 na Yacine Brahimi la pili likifungwa dakika ya 23 na Faouzi Ghoulam, Bao la tatu dakika ya 43 limefungwa na Riyad Mahrezna...
Mchezaji wa timu ya mpira wa Kikapu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Ephraim Mlawa (kushoto) akichuana na Juvenary Shichose wakati Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo hicho lililofanyika, mwishoni mwa wiki katika Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kutoa vifaa vya michezo kwa timu zilizoshiriki mchezo wa soka....
Manchester United ndio inaongoza kwa kutoa Wachezaji wengi wa Kimataifa kwa huko England na pia Barani Ulaya.Msimu huu, Wachezaji wengi wameteuliwa kuzichezea Timu zao za Taifa na Wachezaji wanaocheza Ligi Kuu England ndio wanaongoza kwa Ulaya huku Man United wakiwa juu kwa kutoa Wachezaji wengi zaidi. Kwa mujibu wa Takwimu za CIES Football Observatory Digital Atlas, Asilimia 41 ya Wachezaji...
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kitafanya mazoezi leo jioni saa 1 Algeria, sawa na saa 3 usiku kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Mustapher Tchaker utakaotumika kwa mchezo wa leo jumanne dhidi ya wenyeji Algeria. Stars inayonolewa na kocha mzalendo, Charles Boniface Mkwasa iliwasili salama jana jioni...
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia. Kibadeni anayesaidiwa na kocha msaidizi Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambapo...
Ligi Daraja la Pili nchini (SDL) imeanza kutimua vumbi jana katika viwanja 12 mikoa mbali, huku timu 24 zikisaka nafasi nafasi nne za kupanda Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao wa 2016/2017. Katika michezo iliyochezwa jana matokeo yalikuwa ni Alliance 2 -0 Madini, JKT Rwamkoma 1- 3 Bulyanhulu, Mvuvuma 0 – 0 Green Warriors, Singida United 1 -0 Transit Camp, Mirambo 1 – 0 Abajalo...
...
 Mfalme mzee Yusuphy akiwa anawatumbuiza wapenzi wa bendi ya Jahazi modern taaraba Woinde Shizza,Arusha Bendi ya muziki wa taarabu ijulikanayo kwa jina la Jahazi  modern taarab inayomilikiwa na  mfalme mzee yusuphy inatarajia kutua rasmi jijini Arusha kwa ajili ya kuitambulisha  album mpya inajulikana kwa jina la Mahaba niuee. Akizungumza na waandishi wa...

waliotembelea blog