Bao la kwnza limefungwa na Dele Alli dakika ya 39 kipindi cha kwanza na kipindi cha pili Wayne Rooney dakika ya 48.
Mchezo huu ukiongozwa na Mwamuzi Jonas Eriksson
...
Tuesday, November 17, 2015


Dakika
ya 1 tu Tanzania walikuwa wameshapigwa bao na Yacine Brahimi kwenye
marudiano ya mchezo wao wa Kitaifa wa kirafiki wakiongozwa na Refa Neant
Alioum kwenye Uwanja wa Stade Mustapha Tchaker, El Bouleïda (Blida)
Algeria.
MAGOLI:
Goli la kwanza limefungwa dakika ya 1 na Yacine Brahimi la
pili likifungwa dakika ya 23 na Faouzi Ghoulam, Bao la tatu dakika ya
43 limefungwa na Riyad Mahrezna...


Mchezaji wa timu ya mpira wa Kikapu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha
(IFM), Ephraim Mlawa (kushoto) akichuana na Juvenary Shichose wakati
Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo hicho lililofanyika, mwishoni
mwa wiki katika Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park na kudhaminiwa na
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kutoa vifaa vya michezo
kwa timu zilizoshiriki mchezo wa soka....


Manchester
United ndio inaongoza kwa kutoa Wachezaji wengi wa Kimataifa kwa huko
England na pia Barani Ulaya.Msimu huu, Wachezaji wengi wameteuliwa
kuzichezea Timu zao za Taifa na Wachezaji wanaocheza Ligi Kuu England
ndio wanaongoza kwa Ulaya huku Man United wakiwa juu kwa kutoa Wachezaji
wengi zaidi. Kwa mujibu wa Takwimu za CIES Football Observatory
Digital Atlas, Asilimia 41 ya Wachezaji...


Kikosi
cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya
Kilimanjaro Premium Lager, kitafanya mazoezi leo jioni saa 1 Algeria,
sawa na saa 3 usiku kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa
Mustapher Tchaker utakaotumika kwa mchezo wa leo jumanne dhidi ya
wenyeji Algeria. Stars inayonolewa na kocha mzalendo, Charles
Boniface Mkwasa iliwasili salama jana jioni...


Kocha
mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah
Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya
Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini
Ethiopia. Kibadeni anayesaidiwa na kocha msaidizi Juma Mgunda,
amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya
mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambapo...


Ligi
Daraja la Pili nchini (SDL) imeanza kutimua vumbi jana katika viwanja
12 mikoa mbali, huku timu 24 zikisaka nafasi nafasi nne za kupanda Ligi
Daraja la Kwanza msimu ujao wa 2016/2017. Katika michezo
iliyochezwa jana matokeo yalikuwa ni Alliance 2 -0 Madini, JKT Rwamkoma
1- 3 Bulyanhulu, Mvuvuma 0 – 0 Green Warriors, Singida United 1 -0
Transit Camp, Mirambo 1 – 0 Abajalo...


Mfalme mzee Yusuphy akiwa anawatumbuiza wapenzi wa bendi ya Jahazi modern taaraba Woinde
Shizza,Arusha
Bendi ya
muziki wa taarabu ijulikanayo kwa jina la Jahazi modern taarab inayomilikiwa na mfalme mzee yusuphy inatarajia kutua rasmi
jijini Arusha kwa ajili ya kuitambulisha album mpya inajulikana kwa jina la Mahaba
niuee.
Akizungumza
na waandishi wa...
Subscribe to:
Posts (Atom)