
LISTI YA FIFA YA UBORA DUNIANI iliyotolewa leo bado ina Mabingwa wa Dunia, Spain, kama ndio Nambari Wani na wapo hapo kwa Mwaka wa Sita mfululizo.
Tanzania imepanda Nafasi 4 na sasa ipo
Nafasi ya 120 huku Ivory Coast bado ikiendelea kukamata Nafasi ya 17
ikiwa ndio Timu ya Juu kabisa toka Barani Afrika.
Listi nyingine ya Ubora itatolewa Tarehe 16 Januari 2014.
20 BORA:
1 ...