Thursday, December 19, 2013

LISTI YA FIFA YA UBORA DUNIANI iliyotolewa leo bado ina Mabingwa wa Dunia, Spain, kama ndio Nambari Wani na wapo hapo kwa Mwaka wa Sita mfululizo. Tanzania imepanda Nafasi 4 na sasa ipo Nafasi ya 120 huku Ivory Coast bado ikiendelea kukamata Nafasi ya 17 ikiwa ndio Timu ya Juu kabisa toka Barani Afrika. Listi nyingine ya Ubora itatolewa Tarehe 16 Januari 2014. 20 BORA: 1 ...
KIUNGO mahiri wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amekubali adhabu aliyopewa na Chama cha Soka cha Uingereza-FA lakini atapinga adhabu ya kufungiwa mechi mbili aliyopewa. Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza alikuwa akituhumiwa kuonyesha ishara ya matusi kwa mashabiki wa Manchester City katika uwanja wa Etihad baada ya timu yake kupewa kipigo cha mabao 6-3 katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika...
Pichani kulia ni aliyewahi kuwa Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006,Jokate Mwegelo akizungumza na baadhi ya Wanahabari (hawapo pichani) kutoka vyombo mbalimbali mapema leo Mikocheni jijini Dar kuhusiana na uzinduzi wa klabu yake iliyojulikana kwa jina la KIDOTI CLUB,Shoto ni mmoja waratibu,Mtangazaji wa East Africa Radio aitwaye Bhoke. Mmoja wa Mashuhuda akitoa ushuhuda wake mara baada...
Saida Karoli  MSANII wa muziki wa asili aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Maria Salome’ uliokuwa maarufu kwa jina la ‘Chambua Kama Karanga’, Saida Karoli amesema umaarufu aliokuwa nao haukufanana na kile alichokitia mfukoni. Mkali huyo wa Kaisiki na Mapenzi kizunguzungu alisema alitembea nchi nyingi duniani bila...
Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga itakayochezwa Jumamosi (Desemba 21 mwaka huu) ni sh. 5,000. Kiingilio hicho ni kwa viti vya rangi ya kijani ambavyo ni 19,648. Kwa upande wa viti vya rangi ya bluu kiingilio ni sh. 7,000, viti vya rangi ya chungwa itakuwa sh. 10,000, VIP C kiingilio ni sh. 15,000, VIP B itakuwa sh. 20,000 wakati VIP A yenye viti 748...

waliotembelea blog