Chelsea
wako mbioni kuvunja Rekodi ya Manchester United na kuweka Historia ya
kuwa ndio Timu iliyojikita kileleni kwa Siku nyingi katika Msimu mmoja.Msimu
huu, Kikosi cha Jose Mourinho kimekaa karibu Siku zote kileleni mwa
Ligi au kufungana na ni rasmi tangu Agosti 30 ndio walikaa kileleni na
mwishoni mwa msimu huu wataweka Rekodi ya kuwa juu kwa Siku 274 ikiwa
watabaki Nambari Wani.Msimu...
Friday, April 10, 2015


Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na waimbaji wenzake wa bendi ya Skylight ambao ni Ashura Kitenge(kushoto) na kulia ni John Music kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba na kucheza moja ya Sebene la Kikongo pamoja Sony Masamba.
Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea...


Robin van Persie amejitangaza kuwa yupo vizuri kwa mchezo wa jumapili dhidi ya wapinzani wao wa jadi Manchester city.
Van Persie amekosekana michezo sita ya Manchester united kutokana na
kuumia enka wakati Man Utd walipopoteza kwa 2-1 dhidi ya Swansea tarehe
21 mwezi wa pili.Kocha
Louis van Gaal wiki iliyopita alisema hakutegemea Van Persie kupona kwa
haraka hivyo na kua vizuri kupambana...
Subscribe to:
Posts (Atom)