Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi katika mradi wa maji wa
Kijiji cha Katunguru/Nyamtelela wilayani Sengerema, mkoani Mwanza juzi.
Kulia ni Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe. Picha na Ikulu
Rais Jakaya Kikwete amesema wale wote wanaombeza kuhusu utendaji
wake, wataona aibu atakapomaliza muhula wake 2015 huku akiwananga baadhi
ya wanaCCM kwa kushindwa kuyaelezea mafanikio ya...
Thursday, September 12, 2013


Baadhi ya
wafanyakazi wa Hospitali ya Maria Stop ya jijini Arusha wakisalimiana na
warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakati warembo hao walipotembelea
Makao Makuu ya Kanda ya Kaskazini mjini Arusha hivi karibuni na kupatiwa
mafunzo juu ya uzazi wa mpango
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI...
Warembo wakiwa mapokezi
Warembo wa Miss Tanzania wakifuatilia mafunzo juu ya uzazi...



WAKATI rufaa ya kupinga ubunge wa Mbunge
wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) ikitarajiwa kuanza
kusikilizwa katika Mahakama ya Rufaa Dodoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM)
kupitia Wakili wake, Godfrey Wasonga, kimeiomba mahakama hiyo kuifuta
kesi hiyo.Kwa mujibu wa wakili huyo, sababu ya
kuomba kufutwa kwa kesi hiyo ni kutokana na walalamikaji wote kujitoa na
kuapa mahakamani kuwa hawapo...


Msanii
wa muziki ya kizazi kipya Diamond Platinumz (kushoto) akisalimiana na
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin
Twissa, punde baada ya kusaini mkataba utakaowezesha wateja kuchukua
wimbo wa Diamond Platinumz kama Ring Back Tone (RBT) na wajishindie Tsh
50,000 kwa siku. Anayeshuhudia ni Salum Mwalim, Mejena wa Mahusiano ya
Nje, Vodacom Tanzania.
Msanii
...


In
this September 11, 2001 file photo, smoke pours off World Trade Center
Tower 1 as flames explode from Tower 2 as it is struck by American
Airlines Flight 175, after terrorists crashed hijacked airliners into
the buildings. (AP Photo/Chao Soi Cheong)
A fiery blasts rocks the south tower of the World Trade Center as
the hijacked United Airlines Flight 175 from Boston crashes into the...
Subscribe to:
Posts (Atom)