Thursday, January 30, 2014

     Hii ni nyumba aliyokuwa anaishi Babu enzi za ka...
.  Mitambo Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha  Adam Kigoma Malima alifanya ziara ya siku mbili mkoani Kagera na kukagua miradi ya ujenzi wa vituo vya umoja wa  ushuru na forodha (One Stop Border Post)Rusumo na Mtukula  na ujenzi  wa daraja la Kimataifa la Rusumo kati ya Tanzania na Rwanda. Naibu Waziri Adam Malima  alifanya ziara hiyo mkoani Kagera kuanzia tarehe...
Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mchumba wake. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita kufurahia penzi lao pamoja na kumtafutia shoo mbalimbali. “Ukweli ni kwamba Shilole ana mchumba wa Kizungu na walikutana kwenye shoo ya mara ya kwanza aliyoenda kufanya nchini Uingereza...
...
 MENEJA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho ameponda aina ya uchezaji wa timu ya West Ham United na kudai kuwa ni wa karne ya 19 kufuatia timu yake kutoa sare ya bila ya kufungana katika Uwanja wa Stamford Bridge. Chelsea walifanya kila wanaloweza kuhakikisha wanapenya ngome ya West Ham wanaonolewa na Sam Allardyce lakini walishindwa na kujikuta wakigaana alama hivy kushindwa kuwafikia...
  Julian Draxler: The €30million man?Welcome with open arms: Newcastle are in the chase for Clement Grenier Seal the deal? Yevhen Konoplyanka is Liverpool's chief targetDani Osvaldo: Is the Saints striker on his way to Juventus?Mirko Vucinic: is he Gunner join Arsenal? Is Kurt Zouma heading to Chelsea?        ...

waliotembelea blog