ALIEKUWA Meneja wa Southampton Mauricio Pochettino ameteuliwa kuwa Meneja mpya wa Tottenham Hotspur kwa Mkataba wa Miaka Mitano. Pochettino,
mwenye Miaka 42, aliteuliwa kuwa Meneja wa Southampton hapo Januari
2013 alipombadili Nigel Adkins na Msimu huu amewafikisha Nafasi ya 8
kwenye Ligi Kuu England iliyomalizika Mei 11, na kabla uteuzi huu wa Leo
wa kwenda Tottenham, alijiuzulu...
Wednesday, May 28, 2014


UEFA imewafungulia Mashitaka Kocha wa
Atletico Madrid Diego Simeone na Kiungo wa Real Madrid Xabi Alonso kwa
kuwatuhumu kufanya Utovu wa Nidhamu kwenye Fainali ya UEFA CHAMPIONS
LIGI iliyochezwa Jumamosi iliyopita huko Lisbon, Ureno na Real Madrid
kuichapa Atletico Madrid Bao 4-1. Wote hao wawili wameshitakiwa kwa makosa ya kuvamia Uwanja. Mara
mbili Diego Simeone aliingia Uwanjani...


Cardiff City imemsaini Straika wa Manchester United Federico Macheda kwa Mkataba wa Miaka Mitatu. Macheda,
mwenye Miaka 22, anakuwa Mchezaji wa 3 kusainiwa na Cardiff kwa ajili
ya Msimu ujao na atahamia bila malipo kuanzia Julai 1 wakati Mkataba
wake na Man United utakapoisha. Macheda aliwahi kufanya kazi huko Man United chini ya Bosi wa Cardiff, Ole Gunnar Solskjaer, alipokuwa Kocha...
Subscribe to:
Posts (Atom)