Wayne Rooney akiteleza kuchukua mpira kwa
Ashley Young kwenye mazoezi yao
kabla ya kuelekea kucheza na Shakhtar Donetsk Ukraine
Rooney ambaye anachezea timu ya
Taifa ya Uingereza anatarajiwa kucheza
kesho
Jumatano kwenye maudiano na timu ya Ukraine -Shakhtar Donetsk
Jumanne Oktoba 1 na Jumatano Oktoba 2 Mashindano ya
UEFA CHAMPIONS LEAGUE,...
Wednesday, October 2, 2013



Polisi wakiwa katika ulinzi mkali
Maduka yakiwa yamefungwa
Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yao
Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia
Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
Maduka yote yakiwa yamefungwa...


Ramires
akiifungia timu yake Chelsea bao la kwanza na kufanya 1-0 dakika ya 19.
Bao la pili wamejifunga wenyewe dakika za mwishoni za kipindi cha
kwanza dakika ya 44 kupitia mchezaji wao Steaua Bucurest Daniel
Georgievski aliyejimaliza mwenyewe baada ya patashika kwenye lango lao.
Mchezaji wa Chelsea Juan Mata akiongoza...



Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam
Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi
Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi.
Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi
Dada akilia baada ya kuokolewa...
Subscribe to:
Posts (Atom)