Saturday, January 11, 2014

  Jumapili Januari 12 17:05 Newcastle V Man City 19:10 Stoke V Liverpool Jumatatu Januari 13  23:00 Aston Villa V Arsena...
Leo kuna bonge la mechi LA LIGA kati ya Miamba miwili inayoongoza ligi hiyo Barcelona na Atletico Madrid, Mechi itayopigwa leo saa 4:00 usiku. Atletico Madrid watakuwa kwao nyumbani wakiwakaribisha Barcelona. Timu mbili zinazopigania nafasi ya juu-FC Barcelona wakiwa na Pointi 49 sawa na Atletico Madrid wenye pointi 49 wakitofautiana magoli na wakishikilia nafsi ya pili. KIKOSI CHA BARCA: Kikosi...
Chelsea wakiwa ugenini kucheza na Hull City huko kwenye Uwanja wa KC kipindi cha kwanza kimemalizika wakiwa nguvu sawa ya kutofungana ya 0-0. Chelsea wanaoshikilia nafasi ya tatu wakiwa na pointi 43 wameshindwa kutamba katika kipindi hiki cha kwanza. Hull City wameshinda Mechi moja tu ya Ligi katika 7 Hivyo wanahitaji kushinda hii mechi na inawalazimu kucheza kwa kujituma zaidi katika...
 Kocha mkwasa akiwa mazoezini na timu ...

waliotembelea blog