Thursday, July 10, 2014

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boyz) inacheza mechi ya kujipima nguvu kesho (Julai 11 mwaka huu) dhidi ya Azam U-20 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Mechi hiyo ambayo ni maalumu kwa benchi la ufundi la Serengeti Boyz likiongozwa na kocha Hababuu Ali Omari kuangalia kikosi chao itaanza saa 2 kamili asubuhi. Serengeti Boyz itacheza mechi...
Wesley Sneijder anaweza kuwa huru kujiunga na Manchester United ikiwa Dau la Pauni Milioni 15.9 litatolewa ambacho ndio Kiwango kilichopo kwenye Mkataba wa Mchezaji huyo wa Netherlands kuruhusiwa kuihama Galatasaray ndani ya muda wa Mkataba wake.  Inasadikiwa Man United, baada kumchukua Meneja mpya Louis van Gaal ambae sasa yuko pamoja na Sneijder huko Brazil kwenye Fainali za...
NIGERIA imesimamishwa na FIFA baada ya Shirikisho la Soka la Nigeria, NFF, kuingiliwa shughuli zake. Hii Leo FIFA imetoa taarifa kwamba Kamati ya Dharura imeamua kuisimamisha Nigeria mara moja baada Mahakama Kuu ya Jos, Plateau State, kusimamisha shughuli za NFF na kumtaka Waziri wa Michezo wa Nigeria kumteua Mtu kuendesha shughuli za NFF. FIFA imesema maamuzi hayo ni kinyume na Kanuni...
KOCHA wa Netherlands Louis van Gaal ametoboa kuwa alipata shida sana kumpata Mchezaji wa kupiga Penati ya Kwanza ilipofikia hatua ya Mikwaju ya Penati Tano Tano baada Timu yake na Argentina kutoka 0-0 katika Dakika 120 za Nusu Fainali ya Kombe la Dunia hapo Jana. Kwenye Penati hizo, Argentina waliibuka kidedea kwa kushinda Penati 4-2 baada Holland kukosa Penati mbili zilizopigwa na ...

waliotembelea blog