
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzani, Mark Childres, wakati
alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 9, 2014 kwa
mazungumzo na utambulisho wa balozi huyo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika mazungumzo...