Chelsea wamekubaliwa kumsaini Beki wa Ghana Baba Rahman. Beki
huyo mwenye Miaka 21 anaichezea Klabu ya Germany FC Augsburg na
atagharimu Pauni Milioni 20 huku Pauni Milioni 14 zikilipwa kwanza na
nyingine Pauni Milioni 6 zitalipwa akifikisha Mechi 100. Baba Rahman
amenunuliwa baada ya Chelsea kutonywa na Meneja wao wa zamani Avram
Grant ambae sasa ni Kocha wa Timu ya Taifa ya Ghana. Fulbeki...
Monday, August 10, 2015



Kepteni wa Lazio ya Italy Lucas Biglia ameafika Mkataba wa Miaka Minne Klabu hiyo ya England. Ripoti
hizo, ambazo chanzo chake ni Wasambaza Habari wa France Le10sport.com,
zimedai Kiungo huyo alishaafikiana maslahi yake binafsi na Man United na
kilichobaki ni Klabu husika kukubaliana Ada ya Uhamisho. Imedaiwa Man United imetoa Ofa ya Pauni Milioni 17 lakini Lazio wanataka Pauni...


Bao
la tatu limefungwa kipindi cha pili dakika ya 59 na Vincent Kompany kwa
kichwa baada ya kupigwa kona na David Silva. Picha hapo juu ni Fernandinho
akimpongeza Yaya Toure baada ya kuipa bao tena. Ushindi huu mwepesi kwa
City umewapandisha juu kileleni na kuanza msimu vyema na kwa kupata bao
nyingi kuliko wengine walianza msimu rasmi tangu hapo jumamosi agosti
8. Mechi inayofuata kwa...



MABINGWA
wa zamani wa England, Manchester City wameanza vyema msimu mpya wa Ligi
Kuu kwa ushindi wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya West Bromwich Albion
usiku wa kuamkia leo.
Shujaa
wa mechi alikuwa na kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast, Yaya Toure
aliyefunga mabao mawili, lingine likifungwa na beki Mbelgiji, Vincent
Kompany.
Mwanasoka
bora Afrika, Yaya Toure alianza kuifungia Manchester...



TIMU
ya Esperance ya Tunisia imefufua matumaini ya kusonga mbele Kombe la
Shirikisho Afrika kufuatia ushindi wa bao 1-0 ugenini jana dhidi ya
wenyeji Stade Malien mjini Bamako, Mali.
Shukran
kwake, mfungaji wa bao hilo pekee, Mnigeria, Samuel Eduok huo ukiwa
ushindi wa kwanza kwa ‘Damu na Dhahabu’ na kumaliza wimbi la kufungwa
mechi tatu.
Mechi
...


Meneja
Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (kushoto),
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo
asubuhi, kuhusu kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar
baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni
Mtangazaji, Dina Marios.
Mtangazaji, Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...


Daktari wa klabu ya Chelsea Eva Carneiro amewashukuru masabiki wa
klabu hiyo ambao walichukua muda wao na kutuma ujumbe wa kumuunga mkono
baada ya kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kumshutumu kufuatia tukio
lililojitokeza kwneye mchezo wa kwanza wa ligi kuu ya England kwa
mabingwa hao dhidi ya Swansea.
Huku matokeo yakienda kinyume na matarajio ya kocha huyo...


Beki wa kati wa klabu ya Real Madrid Sergio Ramos anatarajia kusaini
mkataba mpya na klabu yake mpaka kufikia alhmis ya wiki hii baada ya
kufikia muafaka na uongozi wa klabu hiyo katika mazungumzo ambayo
yamedumu kwa muda wa mwezi mzima.
Kusaini kwa mkataba mpya kwa beki huyu kunafikisha ukomo kwa tetesi
kadhaa ambazo zilimhusisha na kuihama Real Madrid...


Leo
Usiku Mabingwa wa zamani wa England Manchester City wanaingia Ugenini
The Hawthorns kucheza na West Bromwich Albion katika Mechi yao ya kwanza
kabisa ya Msimu mpya wa Ligi Kuu England.
Hii ni Mechi ya mwisho ya Raundi ya
kwanza kwa Timu 20 za Ligi Kuu England ambazo zilianza mbio zao za Msimu
mpya hapo Jumamosi na Jana Jumapili huku ikishuhudiwa Mabingwa Chelsea
kutoka Sare 2 kwa...


.Huku
Wachambuzi wakimnyooshea kidole Kipa mpya wa Arsenal Petr Cech kwa
kufanya makossa yaliyoruhusa Bao zote walipopigwa 2-0 Leo kwao Emirates
na West Ham katika Mechi yao ya kwanza ya Ligi Kuu England kwa Msimu
mpya, Meneja Arsene Wenger amekataa kumshushia lawama Kipa huyo. Cech,
alienunuliwa kutoka Chelsea, aliutokea Mpira wa Frikiki ili aupanchi
lakini akaukosa na kutoa mwanya kwa...


Oxford
alimkaba Mtu mzima Mesut Ozil wa Arsenal na aliyenunuliwa
£42.5million leo jumapili kwenye Uwanja wa Emirates, West Ham
wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. Chipukizi Reece Oxford wa West Ham ameweka rekodi kwa kuwa mchezaji mchanga zaidi wa saba na umri wa miaka 16. Oxford alipumzishwa na Meneja mpya wa West Ham Slaven Bilic kipindi cha pili dakika ya 79.Reece Oxford leo wakati...


James
Milner, Martin Skrtel, Emre Can na Roberto Firmino wakifurahia bao la
Philippe Coutinho kwenye dakika za mwishoni kwenye Uwanja wa Stoke City
Britannia Stadium1-0 full time!
Akiachia shuti kali lililozama moja kwa moja langoni
Jordan Henderson akipagawa baada ya kukosa nafasi ya wazi kufunga bao
Mchezaji wa Stoke Glen Johnson akituliza kiuzuri mpira mbele ya Meneja wa Liverppool...


Full time, Arsenal 0 vs 2 West Ham UnitedMeneja
mpya Slaven Bilic ameanza Ligi Kuu England kwa kuiongoza Timu yake West
Ham kuitandika Arsenal 2-0 kwenye Dabi ya Jiji la London huko Emirates
na kumfanya Meneja wa Arsenal Arsene Wenger kutoamini kilichomkuta na
kubaki kushika kichwa, West Ham, ambao walimchezesha Kijana wa Miaka 16
Reece Oxford, walifunga Bao lao la kwanza baada ya Kipa...
Subscribe to:
Posts (Atom)