
Waziri wa Habari, Utamaduni ,Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye
akiwapongeza Wasanii mbalimbali waliojinyakulia tuzo zao usiku wa
leo,zilizofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar,ambapo Msanii
wa muziki wa kizazi kipya Ali Kiba ameibuka kinara kwa kujinyakulia
tuzo tatu.
Waziri wa Habari, Utamaduni...