Santi
Cazorla akiteta na Aaron Ramsey wakati wa Mazoezi hii leo huko London
Colney kwenye Uwanja wa Mazoezi tayari kwa kipute chao na Spurs kesho
jumamosi. Dabi ya London Kaskazini.Cazorla akiwa full matabasamu Hector Bellerin akifanya yake kwenye Mazoezi leo Ijumaa Jumamosi
kesho ndani ya White Hart Lane, Wenyeji Tottenham wataikaribisha
Arsenal kwenye Dabi ya London ya Kaskazini na...
Friday, February 6, 2015


Jumamosi
kesho kwenye Ligi Kuu England, Mechi ya kwanza kabisa ya Ligi huko
White Hart Lane, Wenyeji Tottenham wataikaribisha Arsenal kwenye Dabi ya
London ya Kaskazini na Mechi hii licha ya kuwa ni Dabi pia ina
ushindani wake wa kulilia kuwemo 4 Bora kwani Arsenal wako Nafasi ya 5
wakiwa Pointi 2 mbele ya Tottenham walio Nafasi ya 6. Mechi
ya mwisho kwa Siku ya Jumamosi ni ile Dabi...


Binti
mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia
kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota
cha Thai Village, Masaki jijini Dar Meneja
wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya
nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa
kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na...
Subscribe to:
Posts (Atom)