Daniel Sturridge akicheza muziki kama kawaida yake baada ya kufunga bao lake katika dakika ya 10 dhidi ya Borussia Dortmund
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers akisalimiana na kocha Jurgen Klopp kabla ya mtanange kuanza
Glen Johnson akimtawanya mchezaji wa Borussia Dortmund Patrick Aubameyang
Sturridge alifunga bao na kufanya 1-0 dhidi ya Dortmund ndani...
Sunday, August 10, 2014



Nyota wa muziki wa bongo fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platinum'
akilitawala jukwaa pamoja na baadhi ya wacheza shoo wake katika onyesho
la kwanza la tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa CCM Kirumba
mjini Mwanza lililofanyika mwishoni mwa wiki,tamasha hilo litaendelea
kwenye miji mingine ya Bukoba na Kahama mwishoni mwa wiki.
Baada ya kazi ya kuwaburudisha mashabiki wake,Mara...


Miss Ethiopia akifurahia taji la kuwa Miss Africa katika mashindano hayo
yaliyofanyika Rockville, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na
watu mbalimbali akiwemo Mhe. Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa
Tanzania nchini Marekani. Mshiriki wa Tanzania, Joy Kalemera ameshika
nafasi ya 4 kati ya washiriki 20 walioingia fainali hizo.
Washiriki watano waliopata nafasi ya kuingia tano bora...


baadhi ya wadau wa Bavaria
wakibadilishana mawazo wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na
jovet Tanzania limited wasambazaji wa kinywaji cha Bavaria eneo la
afrika mashariki
Ndugu Justus kyolike meneja masoko mkazi wa Bavaria akiteta na wadau wa Bavaria
Mkurugenzi mkuu wa Jovet Tanzania
Limited ndugu John Kessy akitafakari jambo wakati wa chakula cha jioni
alichowaandalia wakala...


Mwimbaji wa muziki wa injili Rose
Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw.
Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje
katikati na Mwimbaji Chengula kushoto wakati wa tamasha la uzinduzi wa
Albam ya “Shikilia Pindo la Yesu” uliofanyika kwenye uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza leo akisindikizwa na...


Mgeni
rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari
(TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Temeke (MNEC), Phares
Magesa pamoja na Mlezi wa Mashindano hayo, Emmanuel John wakikabidhi
zawadi ya mbuzi kwa washindi.
Mgeni
rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano Mamlaka ya Bandari
(TPA) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri...
Subscribe to:
Posts (Atom)