Wednesday, February 18, 2015

Marcelo akipongezwa na Kocha wake Carlo Ancelotti  baada ya kufunga bao la piliCristiano Ronaldo 26 alifunga bao la kwanza dakika ya 26 kipindi cha kwanza na Marcelo alifunga la pili dakika ya 79 kipindi cha pili na kufanya 2-0 dhidi ya Wenyeji Schalke 04. Na Mtanange kumalizika kwa bao hizo 2-0.Schalke kichuchupu nao wapate bao la kufutia machozi hapa lakini mpira uligonga mwamba...

waliotembelea blog