Wednesday, October 14, 2015

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma na kuvikwa skafu tayari kuongoza maadhimisho ya Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu2015 na kumbukumbu ya miaka 16 ya kifo cha  Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tumia haki yako ya kidemokrasia kupiga kura katika uchaguzi Mkuu...
Licha ya kuwa ilishafuzu kucheza Euro 2016 nchini Ufaransa, Ubelgiji imeendelea vipigo katika mechi za kuwania kufuzu kwa kuichapa Israel 3-1. Ushindi huo wa mabao ya Eden Hazard na De Bruyne umeifanya Ubeigiji kushika namba moja kwa viwango vya Fifa dunia. Ubelgiji imeiangusha Argentina na Ujerumani zilizokuwa zinashika nafasi ya pili na tatu. Ubelgiji ilikuwa katika nafasi ya...
Beki wa kimataifa wa Ufaransa Patrice Evra ambaye amewahi kuitumikia klabu ya Manchester United ya Uingereza kwa kipindi cha miaka nane, October 14 amezungumzia uamuzi wa Man United kumuacha aondoke timu hiyo na kutimkia klabu ya Juventus ya Italia. Patrice Evra ambaye amedumu...

waliotembelea blog