Sunday, July 7, 2013

SIMBA NA YANGA (WABUNGE) WAKIPASHA MISULI KABLA YA MECHI KUANZA   .   Wabunge wa Simba na Yanga wakipasha misuli kabla ya mtanange wao kuanza    ...
Ulijua kwamba Baba yake Beyonce kaoa huyu mwanamke mwingine? July 7, 2013 Beyonce na Solange wamepatiwa mama mpya na baba yao ambaye pia ni mkuu wa Music Entertainment world na pia alikuwa manager wa kundi la Destiny Child.Matthew Knowles ambaye ndiyo baba yake Beyonce na...
DK SHEIN ATEMBELEA MAONYESHO YA SABA SABA LEO Rais wa Zanzibar na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Leila Issa Ali,katika mabanda ya washiriki wa maonesho ya sabasaba alipotembelea leo  jijini Dar es Salaam, (katikati) Waziri wa  Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui {Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}...
ULEVI KWA WATU WENYE WANAOUGUA MARADHI YA UGONJWA WA UKIMWI NI HATARI.  ULEVI miongoni mwa watu wenye Virusi Vya Ukimwi (VVU) umeelezwa kuwa ni hatari kwani pombe inaharibu mfumo wa kinga mwilini na kupunguza chembe hai za kinga -CD4 na kusababisha virusi kuzalishwa kwa wingi.  Chembe za CD4 ni jeshi la kingamaradhi linalohusika na kukabiliana na magonjwa wakati mwili unapogundua kuna...
SPITBANK FORT, HOTEL ILIYOJENGWA MIAKA 134 ILIYOPITA KATIKATI YA MAJI HUKO UINGEREZA.   HOTELI ya Spitbank Fort ikionekana  kwa juu ikiwa imejengwa mwaka  1879 katikati ya kina maji ya  habari nchini Uingereza  ikiwa na umri wa miaka 134 Hapa ikionekana katikati ya kina cha maji ...
SIKU MOJA MOJA SIO MBAYA KUVUNJA SHERIA  Askari wa jeshi la polisi wakiwa wamepakiwa katika pikipiki  wakisafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine wakati wakitekeleza majukumu yao ya kazi maarufu kama mshikaki kiten do ambacho ni uvunjaji wa sheria za usalama barabarani....

.

Dagaa mchelee, Changuuu, Kibuaaaa, Satoo, Dagaa kambaa, Sangaraaa, Peregeee.    Samakiiii. Kweli wote hao ni samaki, tena ni samaki wanaopendwa sana na wala samaki sio Tanzania tu, bali duniani kote. Upenzi wa samaki hautokani na utamu wake tu, bali pia unatokana na obora na virutubisho alivyonavyo samaki kwa afya ya binadamu. Samaki ana madini ya Chuma, Chokaa na Ayodini kwa...
Safari ya Rais KIkwete Sunderland huenda ikawa mwisho wa kiu ya mpira Tanzania Jumapili iliyopita nilibahatika kuwa ndani ya msafara mahususi uliozunguka na mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete. Ingawa msafara huo ulihusu michezo na mpira, uliwakutanisha pia baadhi ya Watanzania wakazi wa Jiji la Sunderland na wale wasomao Chuo Kikuu cha New Castle, Kaskazini Mashariki...
PILIKA PILIKA ZA SABA SABA YA 37.  Wakazi wa Jiji la Dar Wakiwa kwenye foleni tayari kwa kuingia kwenye viwanja vya Sabasaba vilivyopo katika barabara ya kilwa Jijini Dar Es Salaam Mapema leo Asubuhi.  Baadhi ya Wafanyabiashara wakiendelea kuingia vifaa vyao tayari kwa maonyesho na kuuza bidhaa na huduma zao Baadhi...

waliotembelea blog