Robin
van Persie anaamini Louis van Gaal ataiongoza Manchester United kwenye
mafanikio baada ya kukiboresha Kikosi cha Timu yao kwa kununua Masta 6
wapya wenye hadhi ya Kimataifa. Kwenye Siku ya mwisho ya Dirisha la
Uhamisho, Man United iliwanasa Mchezaji wa Kimataifa wa Holland Daley
Blind na Supastaa wa Colombia Radamel Falcao ‘El Tigre’ ambao walifuatia
kuchukuliwa kwa Mchezali ghali...
Tuesday, September 9, 2014


+9
Anataka zaidi? Paul Pogba (kulia) atalipwa paundi elfu 23 kwa wiki kwa wakati huu katika klabu yake ya Juventus
LIGI ya Italia imeshuka umaarufu wake
ukilinganisha na ligi nyingine za ulaya na hii inatokana na mishara ya
wachezaji wa Seria A iliyotangazwa jumatatu ya wiki hii.
Daniele de Rossi
ndiye mchezaji anayelipwa zaidi ambapo anachukua paundi laki moja kwa...


'
Watu wa hela: Makamu mwenyekiti wa United Edward Woodward (katikati), Joel Glazer (kushoto) na Richard Arnold (kulia)
MANCHESTER wanatarajia kutangaza rekodi
ya mapato leo ambayo inakadriwa kufikia paundi milioni 420 kwa msimu
uliopita, huku wakipata faida ya paundi milioni 25 kutokana na mauzo ya
mamilioni ya jezi duniani kote.
Mapato hayo ya mwaka pia yatahusisha
fidia...


WAKATI
Neymar akifurahishwa na uongozi wa Kocha mpya wa Brazil Dunga huku
wakijitayarisha kuivaa Ecuador Jumatano huko New Jersey, USA baada ya
Ijumaa kuifunga Colombia, Fulbeki Maicon ametimuliwa kwenye Timu hiyo. Ripoti toka ndani ya Kambi ya Brazil huko Marekani zimedai Maicon,
ambae anaichezea AS Roma ya Italy, amefukuzwa kutokana na utovu wa
nidhamu huku Mitandao ikijaa kila aina ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)