Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Real Madrid Legends.
Luis Figo (kushoto), akiruka juu kupiga mpira wa kichwa.
Hekaheka langoni mwa Tanzania.
Mohamed Mwameja akiwa ameshika kiuno baada ya kufungwa goli la kwanza.
Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na kocha Msaidizi wa Tanzania 11,...
Sunday, August 24, 2014


Wachezaji wa Everton wakipongezana baada ya kupata bao zao mbili za kipindi cha kwanza.Seamus
Coleman Dakika ya 19 kipindi cha kwanza aliwapachikia Everton bao la
kwanza nakufanya 1-0 dhidi ya Arsenal baada ya kulishwa mpira na Gareth
Barry.
Dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza
Steven Naismith aliwafungia bao la pili Everton na kufanya 2-0 dhidi
Gunners baada ya kazi...



Taswira kamili Uwanja wa taifa Jijini Dar es selaam.MBELE
ya Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Leo
kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam Malejendari wa Real Madrid
waliwachapa wenzao wa Tanzania Bao 3-1 kwenye maalum ya Kirafiki
iliyohudhuriwa na Washabiki wengi.Bao zote za Real zilifungwa na
Kiungo wao wa zamani Reuben de La Red, mwenye Miaka...
Subscribe to:
Posts (Atom)