Wednesday, May 21, 2014

...
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi mteule wa Tanzania nchini Sweden Mhe,Dora Msechu , aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo,[  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Sweden Mhe,Dora Msechu , aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo,baada...
Shirika la kutetea haki za binadamu Human rights watch limeishutumu serikali ya Somalia kwa kuwanyima wafungwa haki za uakilishi wa wakili na kuwashitaki raia wa kawaida chini ya mahakama za kijeshi. Shirika hilo limesema kuwa mamia ya raia wanahukumiwa kwa sheria kali wasizoelewa. Human rights watch pia imesema kuwa raia wengi wamejikuta...
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na ujembe wa watu kutoka Congo hawapo pichani waliomtembelea ofisini kwake kuwaalika wasanii kutoka Tanzania kushiriki katika sherehe za fiesta nchini Congo kwa lengo la kudumisha amani na mshikamano katika nchi za maziwa makuu. Kulia ni Mwenyekiti wa sherehe za fiesta kutoka Congo Bi. Anne...
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. Picha na OMR Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya...
Leo imetimia miaka 18 tangu ndugu zetu walipopata ajali na Meli ya MV. Bukoba 21 May 1996, na wengi kupoteza maisha! Ni tukio kubwa lililoua watu wengi nchini na kuacha huzuni kubwa kwa Watanzania. Comment R.I.P kwao ili waendelee kupumzika kwa ama...
Usajili wa wachezaji kwa hatua ya kwanza msimu huu (2014/2015) unaanza Juni 15 hadi Agosti 3 mwaka huu wakati kipindi cha kutangaza wachezaji walioachwa au kusitishiwa mikataba ni kuanzia Juni 15-30 mwaka huu. Kipindi cha kwanza cha uhamisho wa wachezaji ni kuanzia Juni 15 mwaka huu hadi Julai 30 mwaka huu. Kupitia majina na kutangaza pingamizi ni kati ya Agosti 4 na 11 mwaka huu. Kuthibitisha...
Kikosi cha timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) chenye watu 25 kinaondoka kesho alfajiri kwenda Nigeria kwa ajili ya mechi ya marudiano dhidi ya Nigeria (Flying Eagles). Mechi hiyo itachezwa Jumamosi (Mei 24 mwaka huu) katika Jiji la Kaduna kwenye Jimbo la Kaduna ambalo lipo katikati ya Nigeria. Msafara wa timu hiyo unaoongozwa na Mjumbe wa Kamati...
Mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika mwakani nchini Morocco kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zimbabwe iliyochezwa Jumapili katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 63,345,000. Mapato hayo katika mechi hiyo iliyomalizika kwa Taifa Stars kuibuka na ushindi wa bao 1-0 yametokana na washabiki 11,079 waliokata tiketi kushuhudia...
  Nini matarajio ya africa katika Kombe la Dunia ? Timu za Africa Zitafanya Vizuri  Brazil. Na kuna sababu za kusema haya kwani Tunaubora unaostahili . Katika michuano mikubwa ya Ulaya Kuna mchezaji Mmoja kutoka Africa katika ligi za ulaya , Na wachezaji hao wanacheza kwa kiwango kikubwa . Tatizo kubwa Africa ni kuwa Viongozi hawatuheshimu .Ni mpaka Tuheshimiwe  ,Na hatuwezi...
  WAKATI dirisha la usajili wa ligi kuu soka Tanzania bara likiwa njiani kufunguliwa, wakata miwa wa Kaitaba, `Wanankulukumbi` Kagera Sugar wamegoma kufanya usajili wao kwa mfumo  wa majaribio . Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage Kabange amesema tayari wameshapata wachezaji 30 na tayari wameanza mazungumzo ya awali na baadhi ya wanandinga hao. “Siku...
  Diego Costa akiwa mjini Belgrade kwa lengo la kuonana na mganga wa kienyeji.  MSHAMBULIAJI wa Atletico Madrid, Diego Costa amesafiri kwenda Belgrade nchini Serbia kumuona `Mganga wa miujiza`,  Marijana Kovacevic  ili amtibu na kurejea uwanjani haraka kwa ajili mchezo mkubwa zaidi katika maisha yake ya soka. Mganga huyo wa Serbia anawatibu...

waliotembelea blog