Thursday, July 24, 2014

Marcio Maximo KOCHA wa Yanga, Marcio Maximo amesema pamoja na kumpa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji Geilson Santana Santos ‘Jaja’, bado anahitaji kuona uwezo wa washambuliaji wawili raia wa Uganda, Hamisi Kiiza na Emmanuel Okwi. Yanga inalazimika kuachana na mchezaji mmoja wa kigeni kama kanuni za usajili zinavyoagiza, baada ya...
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic,  KWA muda mrefu tumekuwa tukizungumzia suala la klabu kuwa na viwanja vyake vya soka kwa ajili ya mazoezi huku mkazo wetu ukiwa katika klabu za Ligi Kuu. Hoja yetu hii kwa wakati wote imekuwa ikizinyooshea kidole klabu kongwe za Simba...
Akizungumza na Mwanaspoti, Coutinho raia wa Brazil alisema kwa sasa bado hawezi kusema moja kwa moja kuwa ana uhakika wa kuingia katika kikosi cha kwanza cha Yanga kwa vile hajajua uwezo wa wenzake wanaocheza nafasi kama yake ambao wapo katika vikosi vya mataifa yao.  KIUNGO wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho (pichani )amesema anafurahia zaidi staili...
Wayne Rooney   WAYNE Rooney amempagawisha Kocha Louis van Gaal mazoezini. Wakati kikosi cha Manchester United kikiwa kwenye maandalizi ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu England huko Marekani, straika Rooney alionyesha maajabu mazoezini na kumfanya kocha kupagawa. Kocha Van...
Manchester City wamevunja Mechi yao ya Vijana wa chini ya Miaka 21, U-21, dhidi ya HNK Rijeka huko Novigrad, Croatia hapo Jana kwa madai ya kukashifiwa Kibaguzi kwa mmoja wa Wachezaji wao. Wakati Mechi ikivunjika, City walikuwa mbele kwa Bao 1-0 na walitoka nje mara tu baada ya Kiungo wao, Seko Fofana, kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu baada kumtandika Teke mpinzani lakini inaaminika...
Barcelona wamemsaini Beki wa Valencia Jeremy Mathieu kwa Mkataba wa Miaka Minne kwa Ada ya Euro Milioni 20. Mathieu, mwenye Miaka 30, ameichezea France mara mbili na anaweza kucheza kama Fulbeki wa Kushoto au Sentahafu. Beki huyo anarithi nafasi ya Nahodha wa zamani wa Barcelona Carlos Puyol ambae amestaafu baada ya kuitumikia Klabu kwa Miaka 15.  Taarifa kutoka Barcelona imesema...
Manchester United imetoa Ofa ya mwisho kwa Juventus ya Pauni Milioni 39 kumnunua Kiungo wao, Juventus, kwa mujibu wa Jarida la Michezo la Italy, Tuttosport. Ofa hiyo, ya staili ya: 'Chukua Hutaki Basi', inaaminika inaweza kufungua milango kwa Juventus kukubali kumuuza Kiungo wao mahiri kutoka Chile alieng’ara sana huko Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia. Vidal alijiunga na...
Rooney na Welbeck wakipongezanaWelbeck ndie aliyeanza kuifungia bao la mapema dakika ya 13 United Asubuhi hii Manchester United waliifunga LA Galaxy Bao 7-0 Uwanjani Rose Bowl, Pasadena, California mbele ya Mashabiki 86,432 katika Mechi ya kwanza chini ya Meneja wao mpya Louis van Gaal na kutwaa Kombe la  Chevrolet. Dakika ya 13 Danny Welbeck ameifungulia mlango wa mabao Man United...
WAKATI himaya mpya ya Meneja mpya Louis van Gaal imeanza Jumatano huko Pasadena Rose Bowl kwa Washabiki 70,000 kufurika kuiona Manchester United, Mchezaji wa zamani wa Timu hizo mbili David Beckham alitembelea Hoteli ya Beverly Hills kuwasabahi Marafiki zake wa Man United.Beckham, Lejendari wa Man United, yuko huko Los Angeles kwa matembezi na alifika Hotelini na kuongea na Wachezaji...
Bendi Mahiri na Machachari Jijini Dar Skylight Band wametoa wimbo wao wa Tano ikiwa ni muendelezo wa kutoa nyimbo tofauti tofauti kupitia Studio yao ya kisasa ya Skylight Production. Akiongea na Mtandao huu Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK47 amesema wimbo huo unaitwa “Pasua Twende” ambo umetungwa na Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Dk. Sebastian Ndege akishirikiana na wanamuziki wa Bendi...
Bondia Ibrahimu Maokola akipiga beg zito wakati akijifua katika GYM ya okaido iliyopo Mbagala Charambe  kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake na Selemani Mkalakala pambano litakalofanyika Agosti 9 ,2014 katika ukumbi wa Amenya Pub uliopo Mbagala picha na  Bondia Ibrahimu Maokola akijifua Okaido GYM iliyopo Mbagala Charambe kwa ajili ya kujitaharisha...
  Kikosi cha Mtibwa Sugar msimu uliopita. Mlinda mlango Hussein Sharrif `Casillas` amejiunga na Simba majira haya ya kiangazi na kusaini mkataba wa miaka miwili Na Baraka Mpenja, Dar es salaam TIMU nyingi zinazoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara zipo katika maandalizi ya kujiwinda na msimu mpya utakaoanza kushika kasi septemba 20 mwaka huu. Wakata miwa...
  Na Baraka Mpenja, Dar es salaam WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamedhamiria kurejesha heshima yao iliyopotea kwa miaka mitatu mfululizo katika michuano ya ligi kuu soka Tanzania bara. Simba ambayo imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja kocha wake mkuu, Mcroatia, Zdravko Logarusic ipo katika maandalizi ya msimu mpya na malengo yao kwasasa ni kuelekea katika mchezo maalumu wa kirafki utakaopigwa...
Raha tupu: Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney  akimpongeza Danny Welbeck baada ya kufunga bao la kwanza. LOUIS Van Gaal ni kiboko. Awaonya Jose Mourinho na Asernal Wenger kuwa amekuja kufanya kazi Old Trafford. Jana usiku ameshusha majanga kwa LA Galaxy baada ya kuitandika mabao 7-0 katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya kabla ya Msimu nchini...
MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja. Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu. Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na...

waliotembelea blog