Benfica wamekamilisha Usajili wa Kipa Brazil Julio Cesar ambaye alikuwa anaidakia timu ya QPRJulio Cesar mwenye miaka 34 alisainiwa na Klabu ya Uingereza QPR mwaka 2012.Julio Cesar akiokoa mkwaju wa penati kwenye Kombe la Dunia
Soma Zaidi Hapa »
Posted by
Faustine Ruta
at
8:21:00 PM
0
comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
LUIS...
Tuesday, August 19, 2014


Razack Siwa (kushoto) akiwa na
aliyekuwa kocha wa zamani wa Yanga, Mholanzi, Ernie Brandits
Na Mwandishi Wetu, Tanga
ALIYEKUWA
Kocha wa makipa wa timu ya Yanga Razack Siwa hatimaye
ameingia
mkataba wa kuwanoa makipa wa timu ya Coastal Union ya Tanga ambayo inajiandaa na maandalizi ya msimu ujao wa Ligi
kuu Tanzania bara utakaoanza Mwezi
ujao hapa nchini.
Siwa ameingia...


MFUMO wa usajili wa elekroniki wa Shirikisho la soka duniani FIFA,
‘FIFA TMS’ leo ametoa ripoti mpya
ukionesha hali halisi ya soka la usajili la kimataifa likizihusisha klabu
kutoka nchi za England, Ufaransa, Ujerumani, Italia na Hispania katika majira
haya ya kiangazi ya usajili .
Dirisha la usajili litafungwa septemba 1 mwaka huu. Na kwa mataifa
haya matano yaliyopo katika soka...


Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
MAAFANDE wa JKT Ruvu wamekamilisha usajili wa
wachezaji watatu kati ya wengi waliokuwa wanafanya majaribio chini ya kocha
mkuu, Fredy Felix Minziro.
Beki wa kulia aliyeichezea Simba sc msimu uliopita,
Haruna Ramadhan Shamte amesajiliwa na maafane hao na kusaini mkataba mwa mwaka
mmoja.
Pia nyota wa zamani wa Simba sc na Azam fc, Jabir
Aziz ‘Stima’ ameanguka...


BEKI
wa Kimataifa wa Argentina anaechezea Klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno,
Marcos Rojo, amethibitisha kuhamia Manchester United. Akiongea na
Redio ya Nchini kwao Argentina, Kituo cha Radio Continental, Marcos
Rojo, mwenye Miaka 24, amesema ameshakamilisha Uhamisho wa ‘Ndoto yake’
kwenda Man United.
Jana iliripotiwa kuwa Man United ilikubali kulipa Ada ya Uhamisho ya Euro Milioni...
Subscribe to:
Posts (Atom)