
Mke
wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi
wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli
kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya
tano,kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa wa Oktoba 25 mwaka huu. Mara
bada ya kuhutubia chumba chetu cha habari kilihemewa...