Adidas imekizindua kiatu maalum cha Lionel Messi kwa ajili ya mchezo wa
fainali ya Uefa Champions League kati ya timu yake ya Fc Barcelona dhidi
ya Juventus.
Messi atakitumia kiatu hicho pia kwenye mashindano ya Copa Americ...
Monday, June 1, 2015



Mlinda
wa mlango wa Manchester United, David De Gea ameshindwa kutegua
kitendawili kilichotanda juu ya mstakabali wake katika klabu hiyo na
kuzipa nguvu tetesi za yeye kuhamia Real Madrid anakohusishwa nako kwa
muda mrefu sasa.
Real Mdrid inayotazamiwa kumtangaza Rafa Benitez kama mrithi wa Carlo
Anceloti katika klabu hiyo yenye maskani yake Santiago Bernabeu, imekuwa
ikihaha kunasa...


Tanzania
imepata mwaliko wa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya
Rwanda kati ya Juni 6, 7 mwaka huu jijini Kigali, kwenye kumbukumbu ya
mauaji ya kimbali, Tanzania itapeleka kikosi cha vijana U23 katika
mchezo huo utakaochezwa mwishoni mwa wiki. Kufuatia kupata mwaliko
huo kikosi cha U23 kitaondoka nchini ijumaa tarehe 5, Juni 2015 kuelekea
nchini Rwanda kikiwa na wachezaji...


Bondia
Francis Cheka (kulia) akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa
mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa
T.K.O ya raundi ya nane Bondia
Francis Cheka (kulia) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki
iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O...


Afisa habari wa Yanga Jerry Muro (katikati) akimkabidhi jezi kiungo
mshambuliaji wao mpya, Balimi Busungu (kulia) aliyekuwa akichezea Mgambo
JKT ya Tanga kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kumtambulisha kwa
wandishi wa habari leo. Kushoto ni meneja wa timu ya Yanga, Hafidh
Salehe. (Picha na Rahel Pallangyo) UONGOZI wa Yanga umemtambulisha mchezaji mpya waliyemsajili Malimi Busungu...



Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa kituo cha radio ya EFM 93.7 kwa
pamoja wakikata keki kusherehekea kutimiza mwaka mmoja wa kituo hicho
ambacho kwa sasa kinakuja kwa kasi jijini Dar na kwingineko,hafla hiyo
ilikwenda sambamba na kuadhimisha miaka 16 ya msanii Mkongwe wa muziki
wa kizazi kipya Juma Nature,katika tamasha lililoitwa KOMAA
CONCERT,ambalo lilifanyika ndani ya kiota cha maraha...
Subscribe to:
Posts (Atom)