Baana da Diamond kumkubari huyu jamaa Pia alifunguka
maneno haya:
ilikuwa
ni juzi kwenye show yangu
TCC chang'ombe.ambapo sikuwa na mwanangu,Nay
true boy so
ilinibidi niombe mtu mmoja kati ya mamia ya
mashabiki
waliokuwepo amwakilishe True boy kwenye
music gani ndipo dogo
akajitokeza na siku hiyo ndiyo...
nimekubali kweli
vipaji...
Tuesday, December 10, 2013


MECHI ya Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika
Mashariki na Kati, CECAFA Challenge kati ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro
Stars’ na Kenya ‘Harambee Stars’ iliyopangwa kuanza Saa 7:00 mchana huu
Uwanja wa Kenyatta, Machakos, imeahirishwa na sasa itachezwa Saa 12:00
jioni Uwanja wa Nyayo, Nairobi, Kenya.
Hii ndiyo hali halisi ya Uwanja wa Kenyatta, Machakos
...


Melfu waliokusanyika kuhudhuria misa ya wafu ya Mandela
Maelfu wamekaidi hali mbaya ya
hewa na kufurika uwanja wa FNB kuhudhuria misa ya wafu ya rais mstaafu
wa Afrika Nelson Mandela. Je una ujumbe wowote kwa watu wa Afrika
Kusini?
Unaweza
kuutuma kwenye ukurasa wetu wa na kisha nitauweka...


MARAIS
91 akiwemo Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ni miongoni mwa viongozi
wengine kutoka pembe zote ulimwenguni wanaotarajiwa kuhudhuria ibada ya
wafu ya aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Jumanne mjini
Johannesburg.
Huo
unatarajiwa kuwa mkusanyiko mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika
karne hii, ambapo marais wanne wa Amerika watahudhuria. Itakuwa pia mara
ya kwanza kwa ...
Subscribe to:
Posts (Atom)