Bado
mabishano ya kuwalinganisha yataendelea bila kujali nini kitatokea
kesho jumapili, vinginevyo Messi anamaliza maisha yake ya soka kwa
kutwaa kombe la dunia, hapo sasa atawashawishi wengi kuwa mkali kama
Maradano na Pele.
WAKATI
umewadia. Mara nyingi kumekuwepo na mjadala wa nani mkali kati ya Diego
Maradona na Lionel Messi. Wengi wanasema Messi hajashinda...
Saturday, July 12, 2014


KAGERA SUGAR: TUMEGONGA MWAMBA KUPATA MBADALA WA THEM FELIX `MNYAMA`, LAKINI TUMENASA VIJANA CHIPUKIZI
Kitaifa
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
WAKATA miwa wa Kaitaba, Kagera
Sugar, rasmi wameanza kambi kujiwinda na mikikimikiki ya ligi kuu soka
Tanzania bara inayotarajia kuanza kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu.
Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage...



Diamond Platinumz alipokewa kwa shangwe jana (July 10)
katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere na wadau mbalimbali wa
muziki na mashabiki wake akitokea Marekani alikoenda kushiriki katika
tuzo za BET.
Wema Abraham Sepetu alifika pia katika uwanja huo kumpokea asali wake
wa Moyo na alipata nafasi ya kuzungumza na Fadhili Haule, mtangazaji wa
kipindi cha Sunrise cha 100.5...


Liverpool imethibitisha kwamba wamekubali kumuuza Straika wao Luis Suarez kwa Barcelona. Wiki ijayo Suarez atasafiri kwenda Barcelona kupimwa Afya yake na kusaini Mkataba wa Miaka Mitano. Hivi
sasa Suarez yupo kwenye Kifungo cha Miezi Minne alichopewa na FIFA
baada kumuuma Meno Beki wa Italy Giorgio Chiellini wakati wa Mechi ya
Kombe la Dunia kati ya Uruguay na Italy huko Brazil hapo Juni...
Subscribe to:
Posts (Atom)