Friday, July 3, 2015

Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (katikati) Akizungumza katika Uzinduzi Huo Akiwa na   Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya EAG Group LTD Imani Kajula (Kushoto) Pamoja na Meneja Uendeshaji wa Premier Mobile Solutions, Bi Lulu Ramole. Simba Sports Club kwa kushirikiana na Kampuni ya Tigo Tanzania zimezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama ‘SIMBA...
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce baada ya vilabu hivyo viwili kukubaliana ada ya yuro milioni 6 kwa uhamisho wa mchezaji huyo.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alihamia Manchester United kutoka klabu ya Sporting Lisbo ya Ureno.Alicheza msimu uliopita katika kilabu ya Sporting Lisbon na kufanikiwa...
Paul Pogba Mgombea wa wadhfa wa urais katika klabu ya Barcelona Joan Laporta anasema kuwa mabingwa hao wa Ulaya watajaribu kumsajili kiungo wa kati wa Juventus Paul Pogba iwapo atachaguliwa.Ripoti zinasema kuwa kilabu ya Barcelona ilijaribu kumsajili raia huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 22 ambaye aliisaidia Juventus kushinda ligi ya Serie A na kufika fainali ya kombe la vilabu bingwa...
Aliyekuwa mchezaji wa vilabu vya Arsenal na Chelsea Nicolas Anelka amechaguliwa kama mkufunzi wa klabu ya Mumbai City.Anelka mwenye umri wa miaka 36 aliichezea klabu hiyo ya ligi kuu nchini India chini ya ukufunzi wa aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Manchester City Peter Reid.''Alituvutia sisi sote na ufundi wake pamoja na ujuzi wa hali ya juu alionao'',alisema mmiliki wa kilabu hiyo ambaye...
Na Saleh Ally ULIMSIKIA yule mchezaji kinda wa Yanga, Geofrey Mwashiuya aliyesema kwamba hata Yanga anapita, yuko njiani kwenda Ulaya ambako amekuwa na ndoto ya kucheza soka la kulipwa? Mwashiuya ambaye amejiunga na Yanga msimu huu akitokea timu ya daraja la kwanza ya Kimondo, aliyasema hayo mbele ya waandishi wa habari kwamba Yanga anapita! Kinda huyo ambaye ameonyesha kuwa ana...
Mshambuliaji Hamisi Kiiza amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba ya Dar es Salaam. Kiiza amesaini mkataba huo baada ya kufuzu zoezi la vipimo jijini Dar es Salaam. Kiiza ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Yanga aliwasili jana akitokea nchini Uganda kwa ajili ya vipimo na kumalizia mazungumzo na uongozi wa Simba. Akiwa nchini, Kiiza alisema amekuja kufanya kazi...
Mtendaji Mkuu wa Azam TV, Tido Mhando amesema wataboresha matangazo ya Ligi Kuu KITUO cha Televisheni cha Azam kimepania kuboresha matangazo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kuanzia msimu ujao, kuhakikisha yanaptikana katika ubora wa hali ya juu. Kwa ujumla, Azam TV inayofukuzia miaka miwili tangu ianzishwe imejipanga kuwapatia Watanzania matangazo ya ubora wa kiwango cha juu sana...
KLABU ya Chelsea imemsajili Radamel Falcao kwa mkopo wa muda mrefu wa msimu kutoka Monaco, huku kinda wa Blues, Mario Pasalic akihamia kwa wapinzani kama sehemu ya makubaliano ya dili hilo. Mshambuliaji huyo wa Colombia atacheza Ligi Kuu ya England kwa msimu wa pili akiwa na kikosi cha Jose Mourinho, baada ya kushindwa kung'ara akiwa na Manchester United msimu uliopita. "Nina furaha sana...
CHAMA cha Soka Ivory Coast kimetoa orodha fupi ya walimu watano wanaowania nafasi ya kuwa Kocha Mkuu wa Tembo, iliyoachwa wazi na mshindi wa Kombe la Mataifa ya Afrika, Mfaransa Herve Renard. Imeelezwa kigezo kinachotumika kumpata kocha mpya wa Tembo ni uzoefu wa kufanya kazi Afrika na uwezo wa kuzungumza Kifaransa kwa ufasaha ili iwe rahisi...
RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni atahudhuria mchezo wan chi yake dhidi ya Tanzania, Taifa Stars kesho Saa 10:00 jioni Uwanja wa Nakivubo, Kampala. Mecho hiyo ya kesho ni mchezo wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 Rwanda na mgeni rasmi atakua Rais Museveni. Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Boniface Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku...
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam. Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano...
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager kesho jumamosi saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda.(The Cranes). Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni. Kikosi...
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo jana. Timu za Mpwapwa Academy na Kota FC zikizubiri kukaguliwa na mgeni rasmi. Katika mchezo huo wa ufunguzi Kota FC wqalishinda goli 3-2. DC akikaribishwa...
Mara nyingi tunasikia stori kuhusu watu kukamatwa na dawa za kulevya kwenye viwanja vya ndege, wapo wanaotoka TZ kwenda nje na wapo wanaokamatwa wanaziingiza pia kutoka nje ya nchi.. nina hii stori kutoka ITV kuhusu mtu kukutwa na bangi ndani ya basi. Basi la Maning’inice lilitoka Mtwara kwenda Dar, njiani kulikuwa na Checkpoint ya Polisi ambapo jamaa aliyebeba...
Wapo wanaoogopa kusafiri kwa ndege kabisa, lakini haimaanishi kwamba usafiri wa ndege ni hatari au sio salama kabisa, kwa wataalam wanasema ndege ndio usafiri salama namba moja Duniani. Ripoti za 2015 zimetoka, Qatar Airways imetajwa kama Shirika la Usafiri wa anga ambao ni bora zaidi duniani, najua wako ambao hawajawahi kusafiri kwa ndege za Qatar. Kama unatamani kuyaona mazuri mengine yaliyomo...
255 imepiga stori na 255 Mb Dog amesema bado ana mpango wa kuendelea kufanya kazi na msanii mwenzake Madee kwa sababu ni mtu wake wa karibu ingawa hawajakaa karibu kwa muda mrefu. Pia Stori za mitaani zinazungumza kuwa Video ya ‘Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye...
Straika wa Mexico Javier Hernández 'Chicharito' amevunjika mfupa wa begani na kufanyiwa operesheni ambayo itamweka nje kwa Wiki 4 na kukosa kuichezea Nchi yake Mashindano ya CONCACAF Gold Cup. Chicharito aliumia Jumatano iliyopita huko Houston, USA wakati wa Mechi ya Kirafiki na Honduras iliyoisha 0-0 na kutolewa nje Dakika 5 kabla Haftaimu. Msimu uliopita, Chicharito, mwenye Miaka 27 na...

waliotembelea blog