Jumamosi John Terry alicheza Mechi yake ya 500 kama Nahodha wa Chelsea na kusema anasikia fahari kuongoza Timu hiyo.Terry,
alivishwa Unahodha na kucheza Mechi yake kama Kepteni wa Chelsea
Desemba 5, Mwaka 2001 walipofungwa kwao Stamford Bridge Bao 1-0 na
Charlton Athletica na Jumamosi, akicheza Mechi yake ya 500 tangu Siku
hiyo, aliiongoza Chelsea kuichapa Crystal Palace Bao...
Monday, October 20, 2014


UEFA
CHAMPIONS, Kesho Jumanne Usiku inaanza Mechi zake za Tatu za Makundi
ambapo safari hii Timu zitakazocheza zitakuwa zinacheza nje ndani, yaani
kukutana Wiki hii na kurudiana Timu hizo hizo katika Ratiba inayofuata.Wachezaji wa City wakipasha
Wachezaji wa Man City wakipasha kujiandaa na kipute cha kesho kwenye UEFA champions dhidi ya
CSKA Moscow.
CSKA MOSCOW vs MANCHESTER CITYMabingwa
...


Dakika
ya 87 Daley Blind aliisawazishia bao Man United na kufanya 2-2 na
kuwaokoa Man United huko Hawthorns kwa sare hiyo ambayo aikuleta
mabadiliko kwa timu zote mbili licha ya kugawana pointi moja. Sare hii
inambakisha Man United nafasi ya 6 na pointi zake 12 huku West Brom
Albion wakibaki nafasi ya 15 na pointi zao 9. Dakika
ya...


KIUNGO
wa zamani wa Arsenal Ray Parlour amesema Msimu huu Klabu yake hiyo ya
zamani isiwe na matumaini yeyote zaidi ya kumaliza Nafasi ya 3 au ya 4
kwenye Ligi Kuu England. Matokeo hayo yamewaacha Arsenal wakiwa Nafasi
ya 6 wakiwa Pointi 11 nyuma ya Vinara Chelsea na Pointi 6 nyuma ya Timu
ya Pili, Manchester City, ambao ni Mabingwa Watetezi. Hivi
sasa huko England ipo dhana kubwa kuwa...


Louis
van Gaal amesema wapo kwenye hali njema wakati anaitayarisha Timu yake
Manchester United Jumatatu Usiku kwenda huko The Hawthorns kuivaa West
Bromwich Albion kwenye Ligi Kuu England.
Akiongea
Jana na Wanahabari kuhusu Mechi hiyo, Meneja huyo alisema hivi sasa ni
Wachezaji Wanne tu ambao ndio Majeruhi na Ijumaa aliweza kuwa na
Wachezaji wengi wa Timu ya Kwanza kiasi cha kutolazimika...



Mmoja
wa askari waliokuwa wamepangwa katika suala zima la kusimamia usalama
ndani ya tamasha la Fiesta 2014 akihakikisha usalama wa kutosha
unakuwepo katika eneo hilo,na watazamaji wanapata burudani iliyokusudiwa
kutoka kwa wasanii mbalimbali waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo katika
tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika
viwanja vya Lidaz Kinondoni jijini Dar.Shaa...
Subscribe to:
Posts (Atom)