Wenyeji Chile wametwaa Taji lao la
kwanza kabisa baada ya kuibwaga Argentina kwa Penati 4-1 kufuatia Sare
ya 0-0 katika Dakika 120 za Fainali ya Copa America, Kombe la Mataifa ya
Marekani ya Kusini, iliyochezwa mbele ya Halaiki ya Mashabiki ndani ya
Estadio Nacional Santiago Jijini Santiago.
Kipigo hiki kimeendeleza ukame wa
Argentina wa Miaka 22 wa kutotwaa Taji lolote tangu walipobeba...
Sunday, July 5, 2015


ENGLAND
imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia wanawake nchini
Canada kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ujerumani leo.
Dakika
90 zilimalizika timu hizo zikiwa hazijafungana na katika dakika 30 za
nyongeza, ndipo England wakajibebea Medali ya Shaba/
Ilikuwa
ni dakika ya 108 wakati refa Ri Hyang-ok alipowapa penalti England
baada ya beki wa Ujerumani, Tabea Kemme kumuangusha...


John Bocco akishangila baada ya kuipatia Tanznaia bao la kwanza kwa mkwaju wa penati .
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa
Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager imetoka sare
ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa
kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika...
Subscribe to:
Posts (Atom)