Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu.
Kufuatia kuteuliwa kwa...
Monday, January 4, 2016


Pamoja na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya
England Chelsea kupoteza matumaini ya kutwaa ubingwa kwa mara nyingine
lakini kocha wao mpya Guus Hiddink ana mipango mingine ya ushindi.
Baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 Hiddink
amesema klabu yake hiyo inaweza kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi
nne bora za juu mwishoni mwa msimu huu.
Klabu hiyo ya Stamford Bridge imeenda...


Paco Alcacer akishangilia baada ya kuisawazishia bao dakika za majeruhi na kufanya 2-2Real Madrid bao limefungwa na Karim Benzema dakika ya 16'
Valencia
CF 1, Real Madrid 1. Daniel Parejo wa (Valencia CF) aliifanikishia bao
kwa mkwaju wa penati na kwenda mapumziko kwa bao 1-1.
Alcacer akipongezwa na mwenzie Andre Gomes
Bao hilo liliwafanya wagawane pointi na Real Madrid
Wachezaji wa Valencia...


Espanyol's Hernan Perez (right) tugs Lionel Messi's shirt during the opening period against Barcelona on Saturday afternoon Barcelona
forward Neymar (left) drives towards Espanyol's goal in a bid to open
the scoring in the first Catalan derby of the seasonAndres
Iniesta brings the ball down on his chest during Barcelona's visit to
the Estadi Cornella-El Prat in their first...


Espanyol's Hernan Perez (right) tugs Lionel Messi's shirt during the opening period against Barcelona on Saturday afternoon Barcelona
forward Neymar (left) drives towards Espanyol's goal in a bid to open
the scoring in the first Catalan derby of the seasonAndres
Iniesta brings the ball down on his chest during Barcelona's visit to
the Estadi Cornella-El Prat in their first...


Wayne
Rooney Leo ameipa mguu mwema wa kuanza Mwaka Mpya wa 2016 alipoipa
Manchester United ushindi kwa kufunga Bao la ushindi walipoifunga
Swansea City 2-1 katika Mechi ya Ligi Kuu England. Wayne Rooney akishangilia bao lake la ushindi la pili2-1Martial na Rooney wakipongezanaRooney
Ushindi huu, ambao ni wa kwanza katika Mechi 8, umeipandisha Man United hadi Nafasi ya...


WAKATI
Klabu ya Bournemouth ikiingia Sokoni kumchukua Kiungo wa AS Roma Juan
Manuel Iturbe kwa Mkopo hadi mwishoni mwa Msimu, Meneja wa Man United
Louis van Gaal anatafakari kununua Straika ili kunoa Fowadi yake butu
huku ripoti zikidai Chelsea na Arsenal zina nia ya kuchukua Mastaa
kutoka Uswisi na Italy. Juan Manuel Iturbe Iturbe,
mwenye Miaka 24 na ni Mchezaji kutoka...


Linkwithin
Ligi
Kuu England inaanza Mwaka Mpya 2016 kwa Mechi za Jumamosi Januari 2 na
Mechi ya kwanza kabisa ni huko Upton Park kati ya West Ham na Liverpool.
Hadi sasa kila Timu kwenye Ligi hiyo imecheza Mechi 19 ambazo ni
nusu ya Mechi zao zote na hivyo Mechi za sasa ni kuanza kwa Raundi ya
Pili ya Ligi hiyo ambayo Msimu huu imekuwa haitabiriki. Mbali ya
Mechi hiyo ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)