Saturday, September 6, 2014

 Taarifa mpya zilizotoka kwa mganga mkuu wa hospitali ya mkoa asubuhi ya September 6 2014 ni kwamba idadi ya vifo imeongezeka kutoka 34 jana na sasa ni 39 ambapo idadi iliyoongezeka ni wale waliofia Hospitali.  Shuhuda Patrick ambae ni mtangazaji wa Radio aliekua kwenye gari nyuma ya moja ya haya mabasi anasema wenye makosa ni madereva wa mabasi ambao walikua kwenye mwendo...
Mwenyekiti wa Azam fc, Said Muhammad Said (wa pili kulia) akipokea jezi mpya kutoka NMB BENK NMB imeingia mkataba wa udhamini wa miaka miwili na mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc, utaohusisha gharama za usafiri na baadhi ya nyingine za uendeshaji...
Mshambuliaji wa Simba sc, Mkenya Raphael Kiongera (kushoto) akimtoka beki wa Zesco United, Benard Mapili katika mechi ya Tamasha la Simba Day, Agosti 9 mwaka huu. Msimbazi walilala 3-0 uwanja wa Taifa. Na Baraka Mpenja, Dar es salaam 0712461976 KARIBIA mwezi mmoja sasa tangu klabu ya Simba imfungashie virago aliyekuwa kocha mkuu, Mcroatia Zdravko Logarusic. Tukio hilo lilijiri...

waliotembelea blog