MWANASHERIA wa Luis Suarez anajiamini kuwa adhabu
ya kifungo cha miezi minne cha mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez
itapunguzwa na mahakama ya juu ya rufani ya michezo ya CAS ambapo rufani hiyo
itasikilizwa kesho ijumaa.
Suarezi alikata rufaa kupinga adhabu ya kufungiwa
shughuli zote za soka na FIFA na rufani yake itasikilizwa Agosti 8 mwaka huu
katika mahakama hiyo iliyopo Lausananne,...
Thursday, August 7, 2014


Bado nipo nipo kwanza!: Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema, ameamua kuongeza mkataba mpaka mwaka 2019.
KARIM Benzema ameamua kuzeekea Real Madrid baada ya kuongeza mkataba wake mpaka mwaka 2019.
Nyota huyu alikuwa anahusishwa kujiunga
na baadhi ya klabu za ligi kuu, lakini biashara imekatika ghafla na sasa
Mfaransa huyo ataendelea kudunda dunda Santiago Bernabeu.
Arsenal,...


Mpya: Msimu ujao Ligi kuu nchini England imethibitisha matumizi ya dawa hii ya kupulizia.
BAADA ya kuthibitisha matumizi ya dawa
maalumu ya kupulizia, ile inayokauka haraka na alitumiwa kombe la dunia,
bodi ya ligi kuu England imeripotiwa kuagiza chupa 2,000 kwa ajili ya
marefa msimu ujao, kwa mujibu wa gazeti za Daily Telegraph.
Waamuzi watamaliza msimu...


SIKU
iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa burudani mbalimbali
imewadia ambapo kesho Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa patakuwa
hapatoshi wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini litakapokuwa likichukua
nafasi.
Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali wakitunishiana misuli.
Akizungumza na Centre Spread, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto
alisema kuwa maandalizi yote yameshafanyika...


Pepe ReinaKlabu ya Bayern Munich wameukubali mpango wa kumsajili mlinda mlango wa Liverpool, Pepe Reina.Klabu
hiyo ya ujerumani kupitia mtandao wao wa Twitter wameandika, "Mlinda
mlango Pepe Reina yuko tayari kuhama kutoka Liverpool kuja FC Bayern
kisha vipimo vya afya vitafuata.Mwispainia
huyo amepoteza nafasi yake kama mlinda mlango nambo moja wa Liverpool
kutoka kwa Meneja...


Brendan Rogers atoa sababu za kufungwa na United katika International Champions Cup.Meneja
wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers, ameelezea hisia zake baada ya
kupoteza mchezo wa hatua ya fainali ya michuano ya International
Champions Cup dhidi ya Man Utd uliochezwa usiku wa kuamkia jana mjini
Miami nchini Marekani.Rodgers,
amesema matokeo ya mchezo huo hayajamvunja moyo wa kuendelea...


Mwakilishi
wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambaye pia ni
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko (kushoto)
akisalimiana na baadhi ya Wanamichezo waliokuwa kwenye Mashindano ya
Jumuiya ya Madola mjini Glasgow Scotland mara walipowasilia katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam
jana.
Kaimu
Mkurugenzi wa Maendeleo...


NYOTA
wawili wa Klabu ya Barcelona ya Hispania, Neymar na Lionel Messi, Jana
walirejea rasmi kikosini humo na kuanza kujifua baada ya kumaliza
mapumziko ya Muda kufuatia kumalizika kwa michuano ya Kombe la Dunnia
huko Brazil. Wemeungana na wenzao Javier
Mascherani na Dani Alves. Messi na Mascherano walikuwemo katika kikosi
cha timu ya Taifa ya Argentina iliyofanikiwa kutinga...
Subscribe to:
Posts (Atom)