Monday, March 10, 2014

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na wachezaji wake leo hii asubuhi kwenye mazoeziKocha wa Arsenal, Arsene Wenger Arsene Wenger akihakikisha timu yake inafanya mazoezi ya kutosha.Mertesacker na KoscielnyKocha nae ni mchezaji bwana....Wachezaji kutoka Ujerumani hawa....wakiteta hapa...Podolski na OzilOzil na Podolski UEFA CHAMPIONS LIGI Raundi ya Mtoano ya Timu 16MARUDIANO Jumanne Machi 11 22:45 Bayern...
  Pichani ni baadhi ya wachezi wa Arsenal na Bayern Munich. Michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya kuendelea leo usiku huku kukiwa na mechi mbili. Arsenal, inaelekea, Bonn, kutoana jasho na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munichambayo ilishinda mechi ya raundi ya kwanza kwa mabao mawili kwa nunge katika uga wa Emirates. Hata...
Kwa mujibu wa mtandao wa Goal.com, nahodha wa timu ya taifa ya Ureno na mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo ndio mwanasoka tajiri zaidi duniani. Katika listi hiyo iliyotangazwa leo, Ronaldo amerithi nafasi ya kwanza iliyokuwa ikishikiliwa na David Beckham kwa muda mrefu kaba ya kustaafu msimu uliopita. Ronaldo ambaye alisaini mkataba mnono zaidi na Real Madrid miezi kadhaa...
NA TIMU P W D L GD PTS 1 Azam FC 18 11 7 0 23 40 2  Mbeya City 21 10 9 2 10 39 3  Yanga SC 17 11 5 1 29 38 4 Simba SC 21 9 9 3 17 36 5 Kagera Sugar 20 7 8 5 2 29 6 Ruvu Shooting 20 7 7 6 -4 28 7 Coastal Union 20 5 11 4 5 26 8 Mtibwa Sugar 20 6 7 7 -1 25 9 JKT...
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Dkt. Zakaria Mganilwa ofisini kwake kabla ya kupokea magari mawili ambayo yamekabidhiwa kwa chuo hicho na Shirika la Transaid la nchini Uingereza, hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika leo asubuhi katika viwanja vya NIT.   Taswira...
  Na Boniface Wambura Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini. Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya...
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Kebwe akihutubia kwa niaba ya  Makamu wa Rais Dk. Mohamed Garib Bilal aliyekuwa mgeni rasmi wa ufunguzi wa kituo hicho. Ofisa Rasilimali Watu na Utawala wa Bohari ya Dawa (MSD), Shangwe Stephen akiwa kwenye hafla hiyo. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Kebwe akiangalia maboksi ya dawa...
  Ukikutana tu na picha hizi kwa mara ya kwanza, lazima kitakachokujia kichwani ni collable ya wawili hawa ambao ni ndugu, Queen Darleen na Diamond wameanza kupost picha hizi kupitia katika acc zao za mitandao mbali mbali ya kijamii bila ya kutoa information yoyote juu yake.   katika Status ya picha hizi wawili hao wamekuwa wakiandika "Queen Darleen +Diamond= ?, status...
Rais Uhuru Kenyatta, atapunguziwa mshahara wake kwa Sh 248,000 za Kenya karibu sawa na dola 3,000, na naibu rais William Ruto anapunguziwa Sh210,000. mawaziri na makatibu wakuu wote wanapunguziwa pia mishahara...
Rais Jakaya Kikwete akiongoza Kikao cha Ujumbe wa Mawaziri na Wakuu wa Taasisi za Uhifadhi nchini kabla ya kuanza rasmi kwa Mkutano wa Kimataifa wa Kuzuia Biashara Haramu ya Wanyamapori jijini London, Uingereza. Mkutano wa Kimataifa kuhusu Biashara Haramu ya Wanyamapori (Conference...
Mjumbe wa bunge Maalum la Katiba Bw.  Augustino Mrema akimweleza jambo Mjumbe mwenzie Bw. Islaim Aden Rage leo Mjini Dodoma. Wajumbe wa Bunge Maalumla Katiba na Wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu...

waliotembelea blog