Klabu ya Juventus ya Italia
bado inaongeza nguvu katika kikosi chake kwa kusajili wachezaji kadhaa
ili kuweza kuendana na kasi ya michuano mbalimbali itakayoshiriki msimu
huu. Juventus ambayo imeondokewa na nyota kadhaa kikosini mwake ikiwemo Carlos Tevez na Andre Pirlo imeongeza nguvu katika kikosi chake.
Juventus August 25 wamekamilisha usajili wa mkopo kwa...
Tuesday, August 25, 2015



Mshambuliaji Pape Abdoulaye N'Daw mwenye umri wa miaka 21 anatarajiwa kutua leo usiku kutoka Dinamo Bucuresti ya Romania kufanya majaribio Simba SC
SIMBA
SC imeachana na Msenegali, Papa Niang baada ya kumjaribu kwa dakika 45
tu jana katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam.
Hawajachoka,
Simba SC leo wanatarajia kupokea wachezaji...



Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA kipa wa Simba SC kwa misimu mmoja nusu uliopita, Ivo Philip Mapunda (pichani kushoto) amesema anarejea Kenya, baada ya kuachwa na klabu hiyo mapema mwezi huu.
Ivo
aliyewahi kudakia pia Yanga SC, amesema hana kinyongo na Simba SC na
anaondoka nafsi yake ikiwa safi kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine.
“Nawashukuru
mashabiki wa mpira haswa wa Simba...


Klabu ya soka ya Simba mwishoni mwa wiki iliyopita ilimleta mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal Papa Niang ambaye ni ndugu wa damu na Mamadou Niang mchezji aliyetamba katika vilabu kadhaa barani Ulaya ikiwemo timu ya taifa ya Senegal.
August 24 Papa Niang alijaribiwa na wekundu hao wa msimbazi katika mechi ya kirafiki ya Simba dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga...


Mgombea Urais wa UKAWA 2015 Edward Lowassa alianza ziara ya kuingia mitaani Dar es salaam Aug 24 2015 ili kukutana na Wananchi uso kwa uso na kusikiliza matatizo yao.
Lowassa amesema atatusaidia, tuna furaha
sana leo ametutembelea, hatukutarajia,” alisema mwanafunzi wa Shule ya
Nyegulu, Dorcus Wilson baada ya kuzungumza na Lowassa. Mwanafunzi
mwingine wa Shule ya Msingi Maarifa, Grey Issa...


Mshambuliaji mtukutu ambaye amewahi kuvichezea vilabu kadhaa Mario Balotelli ameondoka Liverpool na kurejea katika klabu yake ya zamani ya AC Milan, Balotelli anarudi AC Milan ikiwa ni msimu mmoja umepita toka ajiunge na Liverpool akitokea AC Milan ya Italia kwa dau la pound milioni 16.
akiwasili kwa kufanya vipimo vya afya Milan
Balotelli anarudi Italia katika klabu ya AC Milan kwa...



NAHODHA
wa zamani wa Arsenal, Mfaransa Thierry Henry anaamini klabu hiyo
inapaswa kutumia kipindi kilichobaki kabla ya dirisha la usajili
kufungwa Septemba 2 kununua kiungo na mshambuliaji.
The
Gunners ililazimishwa sare ya bilakufungana na Liverpool usiku wa jana,
licha ya kutawala sana mchezo kipindi cha pili, huku kipa Petr Cech
akiokoa michomo miwili ya hatari mno ya Christian...



Omar Wayne (aliyeruka juu) amepelekwa kwa mkopo Majimaji ya Songea
MAJIMAJI
ya Songea mkoani Ruvuma imesajili wachezaji wawili wa Azam FC kwa mkopo
wa muda mrefu wa msimu- beki Ismail Gambo ‘Kussi’ na kiungo Omary
Wayne.
Wawili
hao matunda ya akademi ya mabingwa hao wa Afrika Mashariki na kati
tayari wamesafiri kwenda Songea kujiunga na Majimaji iliyorejea Ligi Kuu
ya Vodacom Tanzania...



KIPA anayeonekana kuwa bora zaidi kwa sasa, Aishi Manula (pichani kushoto) wa Azam FC ameachwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kilichopo kambini Uturuki.
Taarifa
ya Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto,
imesema kwamba Aishi Manula hakuweza kusafiri na timu kutokana na kuwa
majeruhi baada ya kuumia katika mchezo...


Manchester United wameripotiwa kutoa Ofa
inayokaribia Pauni Milioni 140 kumnunua Straika wa Barcelona ambae ni
Kepteni wa Brazil, Neymar, kwa mujibu wa Chombo cha Habari cha huko
Brazil Globo Esporte. Inaaminika Mkataba wa Barcelona na Neymar,
mwenye Miaka 23, una kipengele kinachotaka Mabingwa hao wa Spain walipwe
Dau la Pauni Milioni 140 ikiwa atataka kuhama kabla Mkataba kumalizika.
...


FULL TIME: ARSENAL 0 vs 0 LIVERPOOL, HAKUNA MBABE EMIRATES!
Kipa Petr Cech ndie aliyeilinda Arsenal usiku huu kutofungwa Alexis Sanchez akijituma
Wakati Liverpool hawajapoteza hata Mechi
moja kwenye Ligi Msimu huu baada ya kushinda Mechi 2 na hii Sare na
sasa wako Nafasi ya 3 wakifungana na Man United, Arsenal wao wako Nafasi
ya 9 wakiwa wamefungwa Mechi 1, Ushindi 1 na Sare 1. Arsenal...



Timu
ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro
tayari imewasili salama nchini Uturuki katika mji wa Kartepe - Kocael
leo mchana, tayari kwa kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya
Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika mwaka 2017. Msafara
wa Taifa Stars uliopoa nchini Uturuki unaongozwa na mjumbe wa kamati ya
Utendaji ya TFF, Ahmed Mgoyi...
Subscribe to:
Posts (Atom)