Wednesday, August 12, 2015

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF)  leo limesaini Mkataba wa udhamini wa miaka mitatu na mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, wakati maandalizi ya ligi kuu yakiendelea. Kampuni ya Vodacom Tanzania inayoongoza hapa nchini kwa huduma za mawasiliano imekuwa mdhamini wa ligi kuu kwa miaka minane iliyopita, na sasa imeingia mkataba mpya wa udhamini kwa miaka mitatu...
MAMLAKA ya Kodi na Mapato Tanzania (TRA) inatarajiwa kuendesha semina ya kodi kwa viongozi wa vilabu viliyopo jijini Dar es salaam, siku ya ijumaa tarehe 14 Agosti katika hoteli ya Tiffany iliyopo eneo la Kisutu. TRA itaendesha semina hiyo kwa vilabu vilivyopo ligi kuu, ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili ambapo viongozi wakuu wa vilabu hivyo, Katibu Mkuu, Mwenyekiti, na Mhasibu wanapaswa...
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Prisons jioni ya leo katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amisi Joselyn Tambwe alianza kuifungia Yanga SC dakika ya tano kabla ya kutoka kipindi cha pili kumpisha Malimi Busungu aliyeingia kufunga bao la pili dakika ya 84.   Mwinyi Hajji Mngwali wa Yanga...

waliotembelea blog