BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia
vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi
la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015,
Uwazi limechimba.
Mtoto aliyenusurika kwenye ajali.
Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena
hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba...
Tuesday, March 17, 2015


Arsenal
Leo hii huko Stade Louis II Jijini Monaco Nchini France wana kibarua
kigumu cha kupindua historia kwa kufuta kipigo cha Bao 3-1 cha Mechi ya
Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu ya UEFA CHAMPIONS LIGI walichopewa na
AS Monaco ili kufuzu kucheza Robo Fainali. Katika historia ya
Mashindano haya, hakuna Timu iliyomudu kufuta kipigo cha tofauti ya Bao 2
walichopewa katika Mechi ya Kwanza...
Subscribe to:
Posts (Atom)