Thursday, July 23, 2015

Straika mpya wa Liverpool amefanya mazoezi yake ya kwanza leo na Wenzake Liverpool tangu ajiunge na Klabu hiyo kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Melwood. Benteke akiteta na  Mario Balotelli kwa furaha wakati wa Mazoezi Benteke akiwa karibu na mgeni mwenzake  Roberto Firmino Benteke akipiga kichwa mpira Benteke akipeana mpira na Philippe Coutinho, aliyecheza  Copa America msimu...
Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli ameambiwa kuwa hatima yake ipo mikononi mwake. Mchezaji huyo mtukutu raia wa Italia kwa sasa hajasafiri na wenzake wa Liverpool katika ziara kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi baadae mwezi Agosti.Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amenukuliwa akisema hana uhakika iwapo ataendelea kuwa na Balotelli Liverpool moja kwa moja katika msimu huu.Liverpool...
Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande) Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake. Heka heka katika lango la timuya LLBA FC. Simbomana...
Danny Ings akiwachomoka wachezaji wawili wa Felda Uni...
Mabingwa wa England Chelsea wanebamizwa Bao 4-2 na New York Red Bulls wakati Kijana wa Miaka 16 akiwatoboa moja ya Bao hizo huko Red Bull Arena, New York katika Mechi yao ya kwanza Ziarani USA. Bao za Chelsea zilifungwa na Loic Remy na Eden Hazard lakini ni New York Red Bulls waliokwenda mbele 3-1 huku Tyler Adams, Kijana wa Miaka 16, akipiga moja ya Bao hizo. Bao Nyingine za Red Bull...
YANGA SC wamezinduka katika michuano ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame, baada ya jioni ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Telecom ya Djibouti, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga SC iliyoanza vibaya mechi za Kundi A kwa kufungwa 2-1 na Gor Mahia ya Kenya, sasa inaweza kwenda Robo Fainali iwapo itashinda mechi zijazo dhidi ya KMKM...
YANGA SC itahitaji kuifunga KMKM ya Zanzibar kesho, tena ushindi mzuri ili kujihakikishia nafasi ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, michuano inayoendelea Dar es Salaam. Na KMKM itahitaji ushindi ili pia kujihakikishia kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo kutoka Kundi A. Timu tatu kati ya tano za kundi hilo zitakwenda Robo Fainali kuungana na...
Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kujiandaa na mechi dhidi ya AFC Leopards mwezi ujao katika tamasha la Simba Day litakalofanyika na baadaye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kulia ni kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mserbia Dušan Momcilovic. ...
Chris Brown anaziandika headlines kwa mara nyingine tena, siku chache zilizopita staa huyu alikuwa Ufilipino kwa ajili ya kufanya show, lakini akazuiliwa kuondoka nchini humo jana kutokana na mzozo wa mkataba wake wa nyuma. Chris Brown alizuiliwa Airport siku ya Jumatano asubuhi akiwa anajiandaa kuondoka na ndege yake binafsi kutoka Manila International Airport kwenda Hong...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden anayekipiga katika klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa amezidisha uvumi wa kuwa huenda akahama timu hiyo kufuatia majibu ya swali aliloulizwa na jibu alilotoa. Zlatan amekuwa akihusishwa kuhama PSG msimu huu kwa muda mrefu licha ya yeye kutotoa jibu la kukanusha wala kukubali kuhusiana na uvumi huo... Zlatan ambaye amejiunga PSG toka mwaka...
Tetesi za usajili wa kiungo mshambuliaji wa Manchester United, Angel Di Maria kuondoka Old Trafford na kujiunga na Paris Saint Germain leo zimechukua sura mpya.  Kwa siku kadhaa baadhi ya vyombo vya habari nchini Ufaransa vimekuwa vikiripoti kwamba mchezaji huyo angeuzwa kwa ada ya zaidi ya Euro Millioni 60 na angetambulishwa rasmi na PSG Ijumaa hii, lakini...

waliotembelea blog