Maisha yamebadilika: Kiungo Cesc Fabregas alijiunga na Chelsea akitokea Barcelona
CESC Fabregas amekiri kuwa bado
anajihisi kama mchezaji wa Arsenal-licha ya kujiunga na wapinzani wao wa
London, klabu ya Chelsea kwa paundi milioni 30 majira ya kiangazi mwaka
huu.
Kiungo huyo mshambuliaji wa Hispania
tayari ameshaonesha makeke Stamford Bridge kwa kutoa pasi za mwisho nne...
Monday, September 8, 2014


Nje: Reus akiugulia maamuzi katika mechi ya jana usiku dhidi ya Scotland
NYOTA wa Borussia Dortmund, Marco Reus
ataikosa mechi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Arsenal huko
Westfalenstadion kufuatia kuvunjika mfupa wa kifundo cha mguu katika
mechi ya kuwania kufuzu fainali za Euro 2016 dhidi ya Scotland.
Mkali huyo wa Ujerumani atakaa nje ya uwanja...



Wasaniii walioshiriki tamasha la Fiesta 2014 wakiwa na mishumaa
jukwaani wakisambaza upendo na kuwafariji wale wote waliopotelewa na
ndugu zao,waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea hivi karibuni wilayani
Butiama mkoani Mara,ambapo watu zaidi ya 40 walipoteza maisha na wengine
kujeruhiwa vibaya.
Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa musoma wakiwa ndani ya uwanja wa
Karume,wakati...
Subscribe to:
Posts (Atom)