Rafa Benitez atambulishwa kuwa Kocha mpya wa Klabu ya Real Madrid leo, Asaini Mkataba wa miaka ...
Wednesday, June 3, 2015



Leo hii Manchester United imeripotiwa kutoa Ofa ya Pauni Milioni 110 kwa ajili ya Gareth Bale na Raphael Varane. Wawili hao pia wanahusishwa na kuhamia Chelsea.
Lakini
kwa mujibu wa Magazeti ya Spain, Cuatro na El Mundo, Real Madrid
imeikataa Ofa hiyo ya Man United ya kuwanunua Bale na Varane ingawa wao
wenyewe wanataka kufanya dili kumchukua Kipa wa Man United David De Gea.huko
Brazil...



Real
Madrid wameweka dau nzito na kutaka ndani ya wiki mbili Raheem Sterling
asaini mkataba na timu hiyo ya Spain. Kutokana na Raheem kukataa
kusaini mkataba mpya na Liverpool, club nyingi zimeonyesha nia ya
kumsaini.Real
inategemea kufungua mazungumzo na Liverpool na kuwalipa €60 million
(£45m) ili Raheem Sterling ahamie Real ndani ya wiki mbili zijaz...
Subscribe to:
Posts (Atom)