Friday, March 6, 2015

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara pamoja na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015.       Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na...
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa pole wanafamilia wa MzeeZakaria  Limbe ambao wamepoteza wototo wane katika mafa ya mvua kubwa yenye upepo na  mawe iliyonyesha katika eneo la Mwakata Machi  3 usiku. Alikwenda katika maeneo yaliyoathirika leo  kuwapa pole wananchi.   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipa pole Shoma Petro  ambaye ni mmoja wa majeruhi ...
Waziri mkuu Mizengo Pinda akitua na ndege katika uwanja wa ndege wa Buzwagi mjini Kahama mkoani Shinyanga kujionea hali hali ya maafa ya mvua kubwa ya mawe na upepo iliyonyesh juzi katika kata ya Mwakata-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog Kahama    Ndege aliyokuja nayo waziri mkuu Mizengo Pinda-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog Kahama  Waziri mkuu Mizengo Pinda...
Wanafunzi wakisoma Risala mbele ya Viongozi waliohudhuria hafra hiyo katika shule ya Msingi Bunena wakati wa Kukabidhi Msaada wa Madawati. Risala ikikabidhiwa kwa mgeni Rasmi Meneja wa TTCL Bw. Salum Mbaya(kulia).Na Faustine Ruta, BukobaKwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu (TTCL) leo Kampuni hiyo imekabidhi Madawati 50 yenye thamani ya Tsh 2.5 Milioni. Kila Dawati lina...
Mcheza Filamu wa Hollywood Harrison Ford Mcheza filamu wa Hollywood,Harrison Ford, anapatiwa matibabu katika Hospitali moja mjini Los Angels baada ya ndege yake kuukuu kuanguka katika uwanja wa Gofu.Mcheza filamu huyo mwenye umri wa miaka 72 alikuwa akiendesha ndege hiyo mwenyewe.Ndege hiyo ndogo ilinasa kwenye mti wakati ilipokuwa ikitua kwa dharula.Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema Harrison...
MAPENDEKEZO KWA DK. JAKAYA KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MAUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KIKAO CHAKE NA WAWAKILISHI WA CHAMA CHA ALBINO TANZANIA, IKULU, TAREHE 5/3/2015 JUU YA NAMNA YA KUSAIDIA KUKOMESHA MAUAJI, UKATAJI VIUNGO, UTEKAJI NA UKATILI DHIDI YA WATU WENYE UALBINO NA FAMILIA ZAO Mh. Rais, Kutokana na kuendelea kushamiri kwa mauaji, ukataji viungo, utekwaji na ukatili dhidi ya watu...

waliotembelea blog