MENEJA
wa Manchester United Louis van Gaal amesema anaweza kuamua kwa hiari
yake kuachia ngazi baada ya Jana kupokea kipigo cha 4 mfululizo huko
Britannia Stadium walipochapwa 2-0 na Stoke City. Huku kukiwa na
uvumi mkubwa kwa Mdachi huyo ambae Kikosi chake hakijashinda katika
Mechi 7 kuwa atafukuzwa, Jana akihojiwa na Wanahabari baada ya Mechi
hiyo ambayo walishushwa hadi Nafasi...
Sunday, December 27, 2015


Mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke akichuana na beki wa Mbeya City,
John Kabanda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga
imeshinda 3-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke akiwatoka mabeki wa Mbeya City. Wachezaji wa Mbeya City wakimzonga mwamuzi Jeonesia Rukyaa kutoka Kagera...


Leo, Chelsea, wakiwa kwao Stamford Bridge, walianza himaya ya Meneja mpya Guus Hiddink kwa Sare. Chelsea
walitangulia kufunga katika Dakika ya 32 kwa Bao la Diego Costa na
Watford kusawazisha kwa Penati iliyotolewa baada ya Nemanja Matic
kuushika Mpira na Penati hiyo kufungwa na Troy Deeney katika Dakika ya
42. Watford walikwenda mbele 2-1 kwa Bao la Odion Ighalo la Dakika
ya 56 na Diego...


YoungWayne RooneyMeneja wa Stoke CityMan
United hii leo imeshushiwa kipigo chake cha 4 mfululuzo na Stoke City
walioshinda 2-0 katika Mechi ya Ligi Kuu England na kumfanya kila
Shabiki wa Timu hiyo kumchukia Meneja Louis van Gaal na kutaka atimuluwe
haraka. Katika Mechi hii ambayo Kepteni wa Man United Wayne Rooney
alianza Benchi, Stoke walifunga Bao lao la kwanza Dakika ya 19 baada ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)